Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Big brother inabidi tuulize bana...:becky:Kaka mdogo naona uko kikazi zaidi hapo:welcome:
Big brother inabidi tuulize bana...:becky:Kaka mdogo naona uko kikazi zaidi hapo:welcome:
Usiogope nimekusaidia sana hapo if u think twice.:cheer2:ndugu umenielewa nilivyosema hawanipagi shida ni wa kina nani? nenda kaangalia nilivyo quote then unisome vizuri...nilimaanisha mawifi.
Uumm...you may want to rephrase that....kuwa na kimada/njemba pembeni si kawaida ya Mwafrika....ni kawaida ya binadamu.
jamani kuna tabia inanichefua kuliko kichefuchefu, utakuta mtu ana mkewe halafu na pembeni kimada kama kawaida ya mwafrika.
Anapotoka outing na kimada basi mkewe akimpigia simu hata kama kuna dharura ya mtoto kuugua anakuja juu na kumpa kimada simu amjibu mkewe, na baadhi ya vibustani hivyo havipigiwi vyacheza ataanza kumtukana mwanamke mwenzake na kumshambulia kwa maneno makali mpaka mtu ajisikie kua.na hilo janadume nalo likirudi litamshushia mkewe kipondo kwa madai kua amemvunjia starehe yake kwa kero ya simu zake.hivi jamani nyie mijitu mnatuoa ili kututesa kwa manyanyaso au kama mlijua starehe hazijawakoma why muwanyasenyase wake zenu????????????/,kwakweli tabia hii inanichefua kuliko kawaida ni vitendo vya kishenzi.
Kama uliona kimada wako ni bora kwanini usimuoe yeye mkishawazalisha wake zenu tayari wanashuka thamani mtawakashifu kwa maneno mabovu a kuwasaliti,mbona wanawake hawawapi mabwana zao simu wawatukane?,kama yupo atoe ushuhuda kwa sentensi itakayoanza na q na kumalizikia na x.
Na wewe kimada ujue kabisa mwenzio akinyolewa wewe........................................ Kwani mkewe akichoka akafunganya mizigo ukawekwa wewe ndani jiandae ujue kuna siku na wewe yatakukuta msione raha kuvunja ndoa za watu na nyie tafuteni wanaume zenu wamejaa tele,mbona wengine wanajitangaza kwenye mitandao na vyombo vya habari na ninyi mtapata wenza wenu msifurahie kusambaratika kwa ndoa na familia za watu.