Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
hata mimi ningechukua 0 zangu lakini mwenzetu kagoma eti wamechuma wote mali,sasa wamechuma hali ni hiyo wangepanda je ingekuaje?,mimi hoi best
hapo umenimaliza....kwani mkichuma ndio uteseke maishani kisa kuchuna, vunjeni vipande kila mtu ashike lake jamani.