Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
mie mwenyewe nashangaa yule mwanamke kafungiwa chumbani wala hatoki...sijuu huyo baba kam okota wapi mpaka akubali kufungiwa....ila huyu baba anamsupport si ndio kamleta yeye... yani kama umeyasikia maneno yangu dearest...mie nimemwambia hayo hayo maneno achana na karatasi...pigania haki zako na haki za watoto wako....
heee hivi baadhi ya binadamu wanaishije jamani, lyfe style nyingine ni kituko haswaa, sasa unaacha uhuru wako unakuja kufungiwa ndani kama mfugo? watuwanayaweza, huyo mke na yeye ana tatizo, huo mlango ni wa chuma hauvunjiki ukamvunja mtu kiuno?.....kuna wanaume wanapata wanawake wa kuwachezea jamani.