Atabase Agaya
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 120
- 41
Enzi hizo (1982) ndio nilikuwa najifunza kufukuzia visichana kijijini, halafu unatembea kilomita 5 kwenda kijiji cha jirani kufuata walimbwende na tochi yenye mwanga hafifu ukipita katika msitu mnene.............LOL
Wakati huo akina Ngina na Ngano wakiwa wa kusadikika!