Mwenzenu hii mimba.......!

Mwenzenu hii mimba.......!

Huyo ndo Da Sophy.. Ila yote hayo, huwaga yana mwisho.. na mwisho wake huwaga si mzuri. Chunga sana siku huyo bwana atakapoamka.
 
Kumbe na wewe yalishakukumba? Pole sana. Sasa unasubiri nini kulipiza kisasi? Soma katikati ya mistari hapo!
:focus:
we acha usiombe Mungu da sophy akupate namba ya mama matesha hapo ujue anaweza kurudi kwao kwa miguu! walah huyu dada alinitesa kwa maneno mpaka nikabadili line na alivyo within a week akaijua mpya niliamua kumtolea uvivu nikampa ile line dada mmoja mhindi na mswahili walipeana maneno mpaka nae akaamua kubadili
 
duh leo ASprin naona darasa wataka kulifungua mapema!

shadidia ina maana moja na kusisitiza, kukazia, kugogoteza

Ila hii thanks ya First Lady iko wazi sana kuwa ujumbe wako nimeupata
 
duh leo ASprin naona darasa wataka kulifungua mapema!

shadidia ina maana moja na kusisitiza, kukazia, kugogoteza

Ila hii thanks ya First Lady iko wazi sana kuwa ujumbe wako nimeupata
Dah! haya bana. Kugogoteza siyo? Ngoja nimgogoteze home boy wangu kimey aje akazie mada kwenye hii sredi.
Kagulia hapa hapa zawadi yako!!!

The Following User Says Thank You to Gaijin For This Useful Post:

Asprin (Today)​
 
Dah! haya bana. Kugogoteza siyo? Ngoja nimgogoteze home boy wangu kimey aje akazie mada kwenye hii sredi.
Kagulia hapa hapa zawadi yako!!!

The Following User Says Thank You to Gaijin For This Useful Post:

Asprin (Today)​
hommie ona inavyo gogoteza hapa chini......
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Kimey (Today)
 
duh leo ASprin naona darasa wataka kulifungua mapema!

shadidia ina maana moja na kusisitiza, kukazia, kugogoteza

Ila hii thanks ya First Lady iko wazi sana kuwa ujumbe wako nimeupata

Hapo kwenye nyekundu, Umeniacha Mum G. Msaada tafadhali.
 
hommie ona inavyo gogoteza hapa chini......
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Kimey (Today)

Na mimi nimeamua kukushadidia kabisa ili twende sawa!

The Following User Says Thank You to Kimey For This Useful Post:

Asprin (Today)​
 
huh jamani nyie .............wasojua lugha ya taifa wako wengi kumbe! mmmh

kaizer unanita wasemaje kaka?
 
huh jamani nyie .............wasojua lugha ya taifa wako wengi kumbe! mmmh

kaizer unanita wasemaje kaka?

Hapo mwalimu kuna kitu umekisahau au ndio misamiati inaendelea?:attention:
 
Jamani nawashukuru wote mlionipa maneno ya kunipa moyo. Na hao wenye maneno mabaya waelewe kuwa Mungu ndiye mpaji na kanijaalia alivyonijaalia kwa upendo wake, na kwa qudrat zake Mola nitakipata ninachosubiria inshaallah.

Kama mwenzangu umejitakia ugumba mwenyewe ili upate nafasi ya kuhudhuria hizo semina na conference, uchoyo tu ati sijui unaogopa kuzeeka, mbona bado waonekana kikongwe sana tu licha ya kujibania uzazi? Kumbe ndio kisomo hicho? Wewe umeona watoto 2 wanatosha lakini yeye kaona wanae wanahitaji mdogo wao. Wewe ni nani hadi umzuie? Na zaidi ya hapo mimi pia nahitaji mtoto wangu na huwezi kunizuia wala kunipangia habari ndiyo hiyo kama mwenyewe anaogopa kukujuza ndo nakujuza sasa.


Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhh Da Soooooooooooooooooooooooophy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kaizer .....huko wapi?

Asprin kweli wewe kiranja wa darasa..............mwalimu kasahau comma muwie radhi! lol
 
kheee Da Sophy alipata mimba?
 
kaizer .....huko wapi?

Asprin kweli wewe kiranja wa darasa..............mwalimu kasahau comma muwie radhi! lol
The Following Kiranja Says nimekuwia radhi to Mwalimu For This mistake:

Asprin (Today)
 
bht ...............sio kapata mimba tu! mimba inamtaka baba mtoto saa zote na jina lishawekwa hadharani kuwa litakuwa la mkwe.

halo haloooooooo
 
Back
Top Bottom