Asprin sikuona change of location hapo kwako! umeingia martenity ward kumsaidia da sophy au?
You Can Say That Again! Nakusubiri na wewe siku utakapojisahau mzee akamhifadhi mtoto tumboni mwako!
Utanitafuta mwenyewe maumivu yatakapokuzidia.............the impossible!
Nahisi hapa ndio kwenye 'inda' na 'tashititi'..Lol
the impossible!
Utanitafuta mwenyewe maumivu yatakapokuzidia.............
watu wa JF kiboko kwa kuanalyze mambo!
maana Da Sophie anamfanyia mwenziwe inda kuwa na yeye analeta mtoto mwenye jina la 'mkwe' muahahaha
Huu msredi nilikuwa sijauona hvi kwanza mnajadili nini maana sielewi ati???:eek2:
Kama ni hivyo mkuu si vema kudandia treni kwa mbele.... rudi page ya kwanza, pale juu kabisa uanze kusoma, ukifika hapa utaelewa mjadala unavyuokwenda... ushauri wa bure tuHuu msredi nilikuwa sijauona hvi kwanza mnajadili nini maana sielewi ati???:eek2:
Yaani ni inamtaka babake kila dakika, hadi sasa nimesema kama noma na iwe noma. Mwenzangu nivumilie tu bado miezi 4 nitashusha inshaallah. Mtoto wa mwenzio ni mwanao.
Yaani ni inamtaka babake kila dakika, hadi sasa nimesema kama noma na iwe noma. Mwenzangu nivumilie tu bado miezi 4 nitashusha inshaallah. Mtoto wa mwenzio ni mwanao.
Duh! Unamaanisha umeamua kukomba mboga kabisa?
Gaijin unauliza samaki baharini? Si waona kamwomba radhi mwenzie amvumilie? Kaazi kweli kweliDa Sophie baba mtoto ni yule mume wa mtu! mmmmh................umeamua umshikilie mume wa watu kabisa kabisa sasa.
Hivi mjukuu kwenye mto hakuna samaki? Shkang!Gaijin unauliza samaki baharini? Si waona kamwomba radhi mwenzie amvumilie? Kaazi kweli kweli
HAa kumbe Babu umekuwa shpirini? sikujua atiHivi mjukuu kwenye mto hakuna samaki? Shkang!
HAa kumbe Babu umekuwa shpirini? sikujua ati
Shkang Babu yangu.
Hahahahha kule kuna dagaa babu samaki ni ziwani au baharini.
Da Sophy............. mlikubaliana na huyo ba mtoto au ndo katika harakati zako za kumchinjia baharini bi mkubwa??
Da Sophie baba mtoto ni yule mume wa mtu! mmmmh................umeamua umshikilie mume wa watu kabisa kabisa sasa.