ana nini basiiiiiii
kama kajazia kwanini adandie mume wa mwenzie, si angeshakuwa na wake tangu zamani
hamna kitu majisifu yasiyo na kichwa wala miguu
Kwani kujazia ndo kuolewa, we nawe mbona mtoto sana kichwani?
ana nini basiiiiiii
kama kajazia kwanini adandie mume wa mwenzie, si angeshakuwa na wake tangu zamani
hamna kitu majisifu yasiyo na kichwa wala miguu
Mmhhhh!!!hahahahaha KIBAMIA je kimekua ghafla?hela ya wine haitokaa iishe,pesa tunayoooooo,tumesoma hadi Permanent Head Damage tukatunukiwa,wewe form four for four years fighting for food,utaisoma
Jamani umeitoa wapi hiyo msg ? Hapa najiuliza ni mimi kweli niliandika au mtu aliiba account yangu?Mmhhhh!!!
Watu mnatoka mbali aisee!
Teh teh!Jamani umeitoa wapi hiyo msg ? Hapa najiuliza ni mimi kweli niliandika au mtu aliiba account yangu?
Kabisa yaani.Teh teh!
Makaburi Si mazuri kuyafukua..