Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Hakupata mimba mamushka, Alipatiwa!!!!!kheee Da Sophy alipata mimba?
Hakupata mimba mamushka, Alipatiwa!!!!!kheee Da Sophy alipata mimba?
bht ...............sio kapata mimba tu! mimba inamtaka baba mtoto saa zote na jina lishawekwa hadharani kuwa litakuwa la mkwe.
halo haloooooooo
Hakupata mimba mamushka, Alipatiwa!!!!!
Infidelezesheni imefanywa yango kwa yango kitu kikaingia mpaka ikulu ndogo. Sasa tunasubiri kuletewa habari ya mtoto kuzaliwa. Namwonea huruma sana huyu mke wa infideleta. Yaani hebu vaa mawani hapa:biggy na nani?? yule mume wa mtu walokuwa wanafanya naye kwa siri??
Infidelezesheni imefanywa yango kwa yango kitu kikaingia mpaka ikulu ndogo. Sasa tunasubiri kuletewa habari ya mtoto kuzaliwa. Namwonea huruma sana huyu mke wa infideleta. Yaani hebu vaa mawani hapa:
The Following User Says Thank You to Da Sophy For This Useful Post:FirstLady1 (21st July 2010)
Infidelezesheni imefanywa yango kwa yango kitu kikaingia mpaka ikulu ndogo. Sasa tunasubiri kuletewa habari ya mtoto kuzaliwa. Namwonea huruma sana huyu mke wa infideleta. Yaani hebu vaa mawani hapa:
The Following User Says Thank You to Da Sophy For This Useful Post:
FirstLady1 (21st July 2010)
Mom mie silumbani atakayeona nalumbana shauri zake sijamtuma hayo yanayomwasha. Ila tu nasema nimeamua kuzaa mtoto wangu kama wanawake wengine, na nina haki hiyo, na halafu ninayo haki ya kuzaa na mwanaume ninayempenda ili niweze kumfurahia mwanangu, na kwa hiyo huyu nimeridhika naye kabisa awe baba wa mwanangu kama kuna mtu kimemuuma inahuuuu?jamani huyu da sophy huyu? usiache kutujuza shost nn mwisho wa malumbano haya ya mume wa mtu! sasa mbona huyu mke hajibu kitu basi walau tuone the other side of the story maana hapa twaona upande wako tu!
Mbona keshaamka siku nyingi tangu alipogundua kuwa alichooa ni digirii na si mke? Sasa kagundua mke alipo na ameamua sasa kufanya kweli, na mie katu simwangushi mume wangu ninaye huyu tu!Huyo ndo Da Sophy.. Ila yote hayo, huwaga yana mwisho.. na mwisho wake huwaga si mzuri. Chunga sana siku huyo bwana atakapoamka.
Jamani nawashukuru wote mlionipa maneno ya kunipa moyo. Na hao wenye maneno mabaya waelewe kuwa Mungu ndiye mpaji na kanijaalia alivyonijaalia kwa upendo wake, na kwa qudrat zake Mola nitakipata ninachosubiria inshaallah.
Kama mwenzangu umejitakia ugumba mwenyewe ili upate nafasi ya kuhudhuria hizo semina na conference, uchoyo tu ati sijui unaogopa kuzeeka, mbona bado waonekana kikongwe sana tu licha ya kujibania uzazi? Kumbe ndio kisomo hicho? Wewe umeona watoto 2 wanatosha lakini yeye kaona wanae wanahitaji mdogo wao. Wewe ni nani hadi umzuie? Na zaidi ya hapo mimi pia nahitaji mtoto wangu na huwezi kunizuia wala kunipangia habari ndiyo hiyo kama mwenyewe anaogopa kukujuza ndo nakujuza sasa.
Mbona keshaamka siku nyingi tangu alipogundua kuwa alichooa ni digirii na si mke? Sasa kagundua mke alipo na ameamua sasa kufanya kweli, na mie katu simwangushi mume wangu ninaye huyu tu!
mhh we ndio muhusika nini ,naona unatetea sana,mimi sikubaliani na haya kabisa,yana mwisho haya.wala usimuangushe na usije kushangaa kama ataamua kukupa promotion kubwa tu.
youtube - taarab: Sabah al kheir--
mhh we ndio muhusika nini ,naona unatetea sana,mimi sikubaliani na haya kabisa,yana mwisho haya.
hii dunia walimwengu tunaelekea wapi????? mtu mwizi wa mapenzi ya watu bado unajitapa na unamweka Mungu katika makosa yenu, eti Mungu amenisaidia na atanisaidia hapo kwenye mahusiano yenu dada Sophy hakuna Mungu wewe shuhudia ni shetani anakusaidia
.........Jamani Da Sophy unasema huyo mwanamke mwenzako mgumba mbona ana watoto wawili tayari?Au sijui maana ya ugumba?Kama ulivyosema ana watoto 2 basi huyo si mgumba ila kaamua kuwa na watoto 2. Maisha yenyewe haya kuwa na watoto wengi wala sio deal.
.........Jamani Da Sophy unasema huyo mwanamke mwenzako mgumba mbona ana watoto wawili tayari?Au sijui maana ya ugumba?Kama ulivyosema ana watoto 2 basi huyo si mgumba ila kaamua kuwa na watoto 2. Maisha yenyewe haya kuwa na watoto wengi wala sio deal.