Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
Oohh..Weka vigezo mkuu.
Subiri
Oohh..Weka vigezo mkuu.
Sijakuelewa kabisaNyie ndo wazur
Namaansha wazur kwenye sekta ya kuandaa chai
Ulielewaje kwan ! ?
LalaSijakuelewa kabisa
Shikamoo bamdogo wanguSalimia kwanza.. ebo!
Kuna cousin yangu huyo tulikwenda club nilimuacha kwenye dance floor kwenda kuchukuwa bia. Narudi namuona kalala kwenye speaker na makelele yote yale aiseee huyu jamaa akipata upepo tu .
Kabila zako:-
A = Mhindi
B = Muarabu
C = Mchagga
Nangatukaa
Naamuaje mkuu maana usingizi unanipitia bila kujijua?
A: MnyamweziKuna cousin yangu huyo tulikwenda club nilimuacha kwenye dance floor kwenda kuchukuwa bia. Narudi namuona kalala kwenye speaker na makelele yote yale aiseee huyu jamaa akipata upepo tu .
Kabila zako:-
A = Mhindi
B = Muarabu
C = Mchagga
Nangatukaa
Hahahaaaa!!! Daaah!sidharau hizo Dada anajitumaaaa ye anasinzia kaaahI have a friend, yeye akiwa faragha na boyfriend wake muda wa blow job anakuta jamaa kalala usingizi anakoroma.
.
Analalamika kila siku lakini wapi
.
Sijui na wewe usingizi wako umefikia hii levo?!