Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

Kuna cousin yangu huyo tulikwenda club nilimuacha kwenye dance floor kwenda kuchukuwa bia. Narudi namuona kalala kwenye speaker na makelele yote yale aiseee huyu jamaa akipata upepo tu .
Kabila zako:-
A = Mhindi
B = Muarabu
C = Mchagga


Nangatukaa
 
Kuna jamaa angu naye yuko ivo,, ila yeye kwenye mpira halali, il mechi ikiisha tu pale mnaangalia replay za goal ye tayari kashaangusha,, kuna mwaka mmoja nilienda kwao, baada ya msosi wa usiku jamaa mazima, mama ake akasema amerithi kwa baba yake,,,

Watu mna rithi vingi
 
Nina Jirani yangu. Anasinziaga huku anatembea,,, anaenda sokoni mpka anafika amesinzia na hagongwi na Pikipiki ,,nashangaaga
 
I have a friend, yeye akiwa faragha na boyfriend wake muda wa blow job anakuta jamaa kalala usingizi anakoroma.
.
Analalamika kila siku lakini wapi
.
Sijui na wewe usingizi wako umefikia hii levo?!
 
Kuna cousin yangu huyo tulikwenda club nilimuacha kwenye dance floor kwenda kuchukuwa bia. Narudi namuona kalala kwenye speaker na makelele yote yale aiseee huyu jamaa akipata upepo tu .
Kabila zako:-
A = Mhindi
B = Muarabu
C = Mchagga


Nangatukaa
A: Mnyamwezi
B: Mgogo
C: Mchaga
 
I have a friend, yeye akiwa faragha na boyfriend wake muda wa blow job anakuta jamaa kalala usingizi anakoroma.
.
Analalamika kila siku lakini wapi
.
Sijui na wewe usingizi wako umefikia hii levo?!
Hahahaaaa!!! Daaah!sidharau hizo Dada anajitumaaaa ye anasinzia kaaah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom