Mwenyezi Mungu tujaalie tupate Magufuli Mwingine

Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.

Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.

Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.

yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.

Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Una laana wewe na matamanio ya kuwarudisha watu kwenye moto wa jahanam katika mgongo wa dunia
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.

Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.

Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.

yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.

Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Kukosa shukrani ni dhambi inayozitesa nafsi za watanzania wengi. Ukikaa nao kwa mfano unaangalia mpira utasikia maoni hasi mwanzo mpaka mwisho wa mechi.

JPM anayekumbukwa hivi sasa ni yule yule ambaye aliambiwa haendi Ulaya kwa sasa kingereza chake ni kibovu. Ndiye yule yule aliyetukanwa matusi ya kila aina humu JF na watu wasio na mishipa ya aibu!.

Leo wanamkumbuka hayati JPM bIla hata ya aibu. Ni dalili ya kutojua kama taifa tunataka nini. Dalili ya upungufu wa fikra za ndani kabisa juu ya namna nchi yetu inavyoongozwa.
 
vick kamatta.
Huyu ni nani, nimeanza kumsikia hivi karibuni tu humu!

Na wewe mkuu 'mkorinto', kuwepo kwako miaka na miaka humu JF, ina maana huna lolote unalojifunza humu, hata kama sehemu kubwa ni upuuzi mnaoujaza humu kutwa nzima?
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.

Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.

Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.

yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.

Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Acha UZUZU
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.

Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.

Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.

yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.

Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
Amina
 
Magu alikuwa ni shetwani, hakustahili hata kupuliziwa pumzi ya uhai!! Kaumiza watu wengi sana yule jamaa, shida nyingine anazokutana nazo Samia zinatokana na utawala wa kishamba wa jamaa! Hatutakuja kuweka tena Rais wa aina yake, never! Lilikuwa kosa, tulilirekebisha March, hatutorudia tena
 
Siujitokeze hadharani useme haya unayoongea hapa..nenda kkoo beba kipaza sauti uanze kumwaga nondo against JPM….ndio tutajua ukweli kuhusu haya unayosema…mpaka sasa sijaona kiongozi aliesimama hadharani na kumkashifu JPM…sio Afrika hata ulaya…

Ni nyie tu huku vyeti feki, vibaraka vya mabeberu,wapiga dili mtaani ndio mnatoa mapovu…na mzimu wake utazidi kuwaandama…
Mkuu 'micho', ukiondoa polisi (tena siyo kwa utashi wao basi) na vyombo vingine vya ukandamizaji, usidhani Magufuli kwa matendo yake yale ya kishetani yalimpa sifa yoyote kwa wananchi!

Lakini jaribu kutofautisha, yale matendo mazuri ambayo yangempa sifa unazoota hapa leo (hata nami ningempenda); hayo matendo aliyachafua mwenyewe na kuyafanya yasiwe na maana yoyote.

Kwa hiyo usitishe watu hapa kwa kudhani kwamba kuna waTanzania ambao walipendezwa na ushetani aliokuwa nao kiongozi huyo.

Haieleweki kwa nini alipenda kufanya matendo ya namna ile ambayo kiuhakika yalimnyima haki ya kuheshimika.
 
Yaani we wacha tu,tumerudi kulekule tulikotoka, rushwa imeanza kuota tena mizizi, tuseme ukweli sasa huduma zimekuwa ghali na kama huna kitu mkononi hakuna atakuita na kukuuliza shida yako, utaangaliwa tu pengine uambiwe nenda kule na huku.

Na ukitaka kujua angalia kwenye mambo ya passport hapa utaweza kuona ni kwa kiasi gani tumerudi tulikotoka.

Unahitaji pasi ndani ya siku basi weka laki tano unaletewa nyumbani, huna utaambiwe ulete viapo na makaburasha ya bibi yako babu yako na hata wale usio wakumbuka na kama haitoshi lete hati ya kiapo na hapo unapigwa kalenda, migration wamecharuka, Kitu ambacho wakati wa Magu ni jambo la siku mbili tu, jaza fomu weka picha kitambulisho cha Utaifa umemaliza kazi siku ya piili unapokea pasi yako.

Mwenyezi Mungu ametupa somo ambalo inafaa turudi nyuma na kumtaka msamaha,hakuna kama magufuli na dalili sizioni ,ni lazima tuombe tena atupatie kama yey,ye. Vyombo vilivyopo sasa ni vya kusukumana ni vile vya ukimwaga mboga namwaga ugali, wanaogopana, wanalindana , wakati wake akipata fununu tu anafuatilia kiaina siku ya pili unasikia jamaa hana kazi tena mbele za watu na kama haitoshi anakupa data zote ni jinsi gani umehusika katika kuvuruga.

yapo mambo alikuwa na kasoro ila sio yeye ni wale vitimba kwiri wanaotaka sifa na kujipitisha na alikuwa hata hao akiwapatia nafasi huwalipuwa tumeona akina makonda na wengine walikuwa wapo kwenye line zake, tuseme Nchi ilikaa sawa katika utowaji haki kwa kila raia haswa wale aliowaita wanyonge. Na wanaovuruga bado wapo na ndio hawa wanaopandikiza kesi za uongo, kubambikiza ndio wanazidi kuichafua nchi wakiamini wanalinda maslahi yao.

Naamini dua itaitikiwa na kupata mshika gongo mwengine.
kama umeombwa Rushwa na mtumishi yeyote wa umma ktk idara yoyote ya Serikali Toa taarifa mara moja ktk Ofisi za TAKUKURU
wananchi toeni taarifa TAKUKURU
 
Mkuu 'micho', ukiondoa polisi (tena siyo kwa utashi wao basi) na vyombo vingine vya ukandamizaji, usidhani Magufuli kwa matendo yake yale ya kishetani yalimpa sifa yoyote kwa wananchi!

Lakini jaribu kutofautisha, yale matendo mazuri ambayo yangempa sifa unazoota hapa leo (hata nami ningempenda); hayo matendo aliyachafua mwenyewe na kuyafanya yasiwe na maana yoyote.

Kwa hiyo usitishe watu hapa kwa kudhani kwamba kuna waTanzania ambao walipendezwa na ushetani aliokuwa nao kiongozi huyo.

Haieleweki kwa nini alipenda kufanya matendo ya namna ile ambayo kiuhakika yalimnyima haki ya kuheshimika.

It had to be done aisee…hii nchi ilifanywa shamba la bibi…

JPM ni maana halisi ya transformation…

The guy was transforming madudu yote unayojua wewe kwa nguvu zake zote…sasa km hukumuelewa pole…wenzako wali learn the hard way…alikuwa hana muda wakukuelezea anamaanisha nini miaka kumi kwake aliona haitamtosha…maana kwa kifupi asilimia kubwa ya watanzania are ignorant hata waliomzunguka walichukua muda kumuelewa na ni wachache walimuelewa…business as usual oooh sheria oooh sio vizuri lakini kupiga bilioni ni vizuri huku watanzania wanakufa hospitalini kwa kukosa dawa na saa nyingine hata kufika hospitalini mpaka uvuke mto uliwe na mamba…

Halafu unasema shetani kwa nani kwako unaemkwamisha kutimiza malengo yake ya kulift up maisha ya wa watanzania… naenda hv wewe unaenda hivi kisa mazoea na elimu yako ya mkoloni…he would simply cut you off…hata sisimizi wanakufa kila siku…km wanalamba sukari na binadamu anahitaji kuweka kwa chai wanakufa…

It is a game of life Cahpeesh
 
It had to be done aisee…hii nchi ilifanywa shamba la bibi…

JPM ni maana halisi ya transformation…

The guy was transforming madudu yote unayojua wewe kwa nguvu zake zote…sasa km hukumuelewa pole…wenzako wali learn the hard way…alikuwa hana muda wakukuelezea anamaanisha nini miaka kumi kwake aliona haitamtosha…maana kwa kifupi asilimia kubwa ya watanzania are ignorant hata waliomzunguka walichukua muda kumuelewa na ni wachache walimuelewa…business as usual oooh sheria oooh sio vizuri lakini kupiga bilioni ni vizuri huku watanzania wanakufa hospitalini kwa kukosa dawa na saa nyingine hata kufika hospitalini mpaka uvuke mto uliwe na mamba…

Halafu unasema shetani kwa nani kwako unaemkwamisha kutimiza malengo yake ya kulift up maisha ya wa watanzania… naenda hv wewe unaenda hivi kisa mazoea he would simply cut you off…hata sisimizi wanakufa kila siku…km wanalamba sukari na binadamu anahitaji kuweka kwa chai wanakufa…

It is a game of life Cahpeesh
Maelezo yote ni utumbo tu. Unayemsifia kuwa alikuwa mjuaji ndiye aliyeharibu biashara ya korosho Mtwara na Lindi.

Ndiye alikuwa anaua wakosoaji akina Ben Saanane na Azory Gwanda na kumshambulia Lissu kwa risasi 16.

Unayemsifia ndiye aliyetumia kodi za umma kujenga miundombinu mikubwa Kijijini kwake Chato. Ambayo ni hasara kwa sasa. Na ndiye mwizi wa Tsh Trillion 2.4 ambazo CAG Prof Assad alihoji na alifukuzwa kazi
 
Kariakoo ndiyo nini? Mimi hata Chato kwenye kaburi lake nakwenda

Hilo DUBWASHA unalilisifia kwa Tanzania likikuwa Moja tu. Nalo liliingia kwa bahati mbaya toka Burundi. Baada ya kulizika pale Chato mnamo tarehe 27/ 03/ 21, Tanzania imekuwa kama imepata Uhuru wa pili

Hakika nasema Mtanzania halisi hawezi kuwa na chuki ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Watanzania.

Kwa wanaomoenda nawashauri wamfuate huko kuzimu, hamna namna


Pole
 
It had to be done aisee…hii nchi ilifanywa shamba la bibi…

JPM ni maana halisi ya transformation…
Alikuwa na nafasi nzuri sana ya kufanya hivyo; to be a "transformative" leader, in the same lines of Edward Sokoine na Mwalimu Nyerere. But, alas, he blew it!
It's simply mind boggling to imagine why he involved himself in those sideshows which were in large part unrelated to the transformative work he wanted to achieve.
A leader cannot be 'transformative' by denying voters to chose their leaders freely, for example! That 2020 election was not an election by any standard of an election! But, why did he need to do what he did, when he was doing the things that people approved?
 
Maelezo yote ni utumbo tu. Unayemsifia kuwa alikuwa mjuaji ndiye aliyeharibu biashara ya korosho Mtwara na Lindi.

Ndiye alikuwa anaua wakosoaji akina Ben Saanane na Azory Gwanda na kumshambulia Lissu kwa risasi 16.

Unayemsifia ndiye aliyetumia kodi za umma kujenga miundombinu mikubwa Kijijini kwake Chato. Ambayo ni hasara kwa sasa. Na ndiye mwizi wa Tsh Trillion 2.4 ambazo CAG Prof Assad alihoji na alifukuzwa kazi

Jiongeze utamuelewa tu…haihitaji haraka ni polepole tu…km sio wewe watoto wako…
 
maana kwa kifupi asilimia kubwa ya watanzania are ignorant hata waliomzunguka walichukua muda kumuelewa na ni wachache walimuelewa…business as usual oooh sheria oooh sio vizuri lakini kupiga bilioni ni vizuri huku watanzania wanakufa hospitalini kwa kukosa dawa na saa nyingine hata kufika hospitalini mpaka uvuke mto uliwe na mamba…

Halafu unasema shetani kwa nani kwako unaemkwamisha kutimiza malengo yake ya kulift up maisha ya wa watanzania… naenda hv wewe unaenda hivi kisa mazoea na elimu yako ya mkoloni…he would simply cut you off…hata sisimizi wanakufa kila siku…km wanalamba sukari na binadamu anahitaji kuweka kwa chai wanakufa…
Katika haya uliyoandika hapa, ni wazi huna fikra nzuri. Nitaachia hapo.

Oooh, yeah, "hata sisimizi wanakufa kila siku"; no wonder, hata yeye amekufa kwa kiburi chake cha kipumbavu, and thank God for the good of Tanzania!

Unasema "...asili mia kubwa ya waTanzania are ignorant...", je ndio hao unaowasema walioko Kariakoo, au wapo wengine? Kama ndio hao, na u'ignorance' wao unadhani wana habari na huyo shetani wako tena saa hizi?
Mbona unaelekea kama hazikutoshi mkuu, kutambua unachokizungumzia?

Sasa iliyobaki ni hawa wapuuzi waliopo wanaotupeleka upande wa pili!
 
Semeni na kuropoka ni yale makelele ya yule jibwa koko,linabweka sana sana ukipiga marktime kwa nguvu linakimbia na kutokomea kusiko julikana.
Nyie mnaomtukana na kumponda Magufuli itakuwa mna ukosefu wa lishe na ubongo wenu hauoni mbali zaidi ya sahani ya chakula iliyopo mbele yako ,kwa maana Magufuli alifanikiwa kwa asili mia miamoja kuibana mirija yenu na ikawa hamwuwezi kupumua ,sasa mmeanza kufunguwa mbawa na mnaona njia ya ulaji nyeupe.

Mheshimiwa Magu alifanikiwa kuziba kila shimo la mapato yenu ya njia za haramu na ndio aliweza kujenga matumaini makubwa kwa wananchi wanyonge ,ambao walianza kung'aa kwa hicho hicho kidogo kiliwatosha wao na watoto wao ,walikula na kusaza.

Leo hali iliyopo ni ya kufukuzana na yote hii ili tusikufukuze tuachie chochote uendelee ,njia za kula zimeanza kufunguka. Nchi inaelekea tulikotoka wazungu kitaalamu wanaita U-TURN ,lakini sio hivyo tu Tanzania sasa inachukuwa Wrong Turn.
 
Semeni na kuropoka ni yale makelele ya yule jibwa koko,linabweka sana sana ukipiga marktime kwa nguvu linakimbia na kutokomea kusiko julikana.
Nyie mnaomtukana na kumponda Magufuli itakuwa mna ukosefu wa lishe na ubongo wenu hauoni mbali zaidi ya sahani ya chakula iliyopo mbele yako ,kwa maana Magufuli alifanikiwa kwa asili mia miamoja kuibana mirija yenu na ikawa hamwuwezi kupumua ,sasa mmeanza kufunguwa mbawa na mnaona njia ya ulaji nyeupe.

Mheshimiwa Magu alifanikiwa kuziba kila shimo la mapato yenu ya njia za haramu na ndio aliweza kujenga matumaini makubwa kwa wananchi wanyonge ,ambao walianza kung'aa kwa hicho hicho kidogo kiliwatosha wao na watoto wao ,walikula na kusaza.

Leo hali iliyopo ni ya kufukuzana na yote hii ili tusikufukuze tuachie chochote uendelee ,njia za kula zimeanza kufunguka. Nchi inaelekea tulikotoka wazungu kitaalamu wanaita U-TURN ,lakini sio hivyo tu Tanzania sasa inachukuwa Wrong Turn.
Mungu aliiepusha Tanzania mikononi mwa dubwasha lenye USHAMBA wa kula mahindi barabarani na kununua jogoo. Nani anataka ule ujinga urudi tena?

Rais alikuwa na mdomo mchafu kama choo cha sokoni kutwa kuropoka kwenye majukwaa, nani anataka takataka ile tena? Go to hell as well
 
Back
Top Bottom