Mungu aliiepusha Tanzania mikononi mwa dubwasha lenye USHAMBA wa kula mahindi barabarani na kununua jogoo. Nani anataka ule ujinga urudi tena?
Rais alikuwa na mdomo mchafu kama choo cha sokoni kutwa kuropoka kwenye majukwaa, nani anataka takataka ile tena? Go to hell as well
Watu km nyie hata enzi za Nyerere mlikuwepo mlikuwa mnapenda sana kula left overs za wazungu…Nyerere alipokuwa anataka kutupa uhuru mlimuona mchawi mlikuwa mko tayari kumlipua kisa viporo…ila aliwapuuza sababu alijua elimu yenu na ufahamu wenu ni mdogo hakukata tamaa akasonga mbele…
Ila Magu alikuwa anadetect ignorant people from a far hakujaliwa kuvumilia upumbavu aliwapunish…