Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

Heshima yako kaka Billy.

Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kuthubutu kuandika juu ya chama chenye wapenzi wengi sana nchini. Una uthubutu.......

Ngoja nikuonyeshe ulitakiwa kufanya nini kabla hujaandika. Itakusaidia sana siku za usoni. Unaposema....


  1. Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

  • Umeonyesha kuwa upeo wako unahusisha utekelezaji wa sera zenye kasoro na kutumia magari ya kifahari, walinzi, bendera na kubwa zaidi dereva as if magari yalitakiwa yawe co piloted (labda unaangalia sana sinema za sciencefiction)
  • Bendera ni identity! Hata wakati ukiwa baharia wa meliza SINOTASHIP, nazo zilikuwa na bendera
  • Walinzi ni jambo liko wazi kabisa unless uwe unalindwa na watu wasioonekana kama alivyosema mtabiri Fulani
  • Kimoyoni uko Chadema nadhani maana umependa kombati!

  1. NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

  • Itabidi ukae chini usome tofauti kati ya political party na resistance movement. Unachanganya masomo. Tafuta kitabu kinaitwa Waging Nonviolent Struggle: 20th Century Practice and 21st Century Potential cha Gen Sharp. Utajua kwanini siku hizi hakuna mapinduzi kama zamani. Lazima ujue kutofautisha zama, madhumuni ya mapambano na watu walio katika mfumo

  1. KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

  • Kuongoza ni mfano zaidi. Sasa wewe ambaye ulitaka kuongoza halafu unamiss such basic stuff? Haiyumkini kura hazikutosha
USHAURI:

  1. Soma sana uongeze maarifa. Kwa sasa, umepwaya sana. Kama itakupendeza….tutakusaidia vitu vya kusoma
  2. Take time to think kabla hujasema au kuandika. Maandishi huwa hayafutiki. Tutakuja kukuonyesha what you wrote ukiwa popote pale unagombea nafasi yeyote ile. Hili ni la muhimu sana kuzingatia
  3. Wahenga walisema " A silent fool is counted wise"
Thanks!!!!!!!
 
Ni kweli kabisa CDM kuna mambo yanayofanywa na VIONGOZI wetu yanatia aibu kama haya ya magari ya anasa sioni mantiki ya MBOWE kutumia gari kama hiko wakati huo huo tunawaponda CCM huo utakuwa ni UNAFIKI so VIONGOZI wangu tununue LANDCRUISER HARD TOP na LAND ROVER wananchi watatukubali lakini kwa style hiyo hatutaaminika muigeni MNYIKA .
 
View attachment 54787


- Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!


William.

Sasa unataka na Mbowe ajenge banda la nyasi na kuishi humo kama yuko msituni, au miaka aliyoishi Savimbi na miaka anaishi Mbowe inalingana kimaendeleo? nilidhani una uelewa mpana kumbe bado una safari ndefu sana hata ya kupata ubunge kupitia jimbo lako.
 
Mimi niliwaikusema, williamu ni PUMBANAN.na kama hamuani mpeni meli muone tena boti tu kama hajuzamisha na akashindwa kujioa yeye mwenyewe

Eti anataka kutuwakilisha bunge la A.masharik. Yaana tungechekwa mpaka basi
 
kama ungeutangzia umma wa watanganyika MALI alizochuma baba yako ambazo mpaka leo mnatanua nazo,mmi bnafsi ningekuona wa maana sana.anzia kwenu.
 
Sasa unataka na Mbowe ajenge banda la nyasi na kuishi humo kama yuko msituni, au miaka aliyoishi Savimbi na miaka anaishi Mbowe inalingana kimaendeleo? nilidhani una uelewa mpana kumbe bado una safari ndefu sana hata ya kupata ubunge kupitia jimbo lako.

huyu hawezi kuongoza hata familia yake,mke wake ndo anamuongoza kila kitu,yaani kifa hii familia ya malecera hakuna mwenye akili timamu wote wajinga
 
kati ya vijana wapuuzi na wajina willy ni mmoja wao........kisha lusinde anafatia...kisha mwigulu..kisha nape
 
Hii picha ya father christmas (ofcourse aliyekosea itifaki ya mavazi) inaleta uchochezi......




Unapenda sana show???

wenzako hawa hapa wanaopenda show....
kikwete+na+pipi.JPG
492900.jpg
RAIS+KIKWETE+PICHA.jpg

Hapa juu haoni aibu kuwa hafanani na hao wenyeji wake.Sijui ni lini tabasamu lilishatoa tafsiri ya huzuni tofauti na Furaha ama Kejeli.......
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Mkuu W J M kauliza swali zuri sana bahati mbaya hapewi majibu ana ambulia kejeli na viroja.Wanajamvi wenzangu tuitendee haki JF kama huna uwezo wa kujibu hoja kaa pembeni magauzi ya kweli yatafanikiwa ikiwa tutakubali kukosolewa na kujisahihisha.

CDM leo ni chama cha upinzani kesho kinaweza kuwa chama tawala mambo yanayotendwa na viongozi wake leo yanatoa mwanga wakipewa dola watatutendea nini !.

Tunapinga kwa nguvu zetu zetu serekali ya CCM iachane na matumizi ya magari ya kifahari bahati mbaya mbadala wa CCM naye anatumia magari ya kifahari ?.
you are right kaka. maswali ya msingi yapewe majibu ya msingi, sio blah blah.
 
William kweli ni mbumbumbu mzungu wa reli

Unalinganisha ukombozi wa enzi za wakoloni na wavamizi na mapinduzi ya kiitikadi??? kweli kabisa unataka kutuaminisha kwamba baba yako, mmoja wa watu walioharibu sana nchi yetu kwa kukaa serikalini miaka mingi bila kuwa na hata kitu kimoja cha kujivunia zaidi ya kuoa mwanasiasa mwenzake ni sawa na peter botha, sir donald cameroon, au wakoloni wa kireno??

KWeli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi............. umebaki minyama-minyama tu lakini brains hakuna propotion kabisa na hizo nyma-nyama mkuu

UNGEKUA KAMA REJAO NINGEACHA TU IPITE LAKINI WEWE SIWEZI KUACH, HEBU USITUAMINISHE KWAMBA MZEE HAKUWA NA JITIHADA ZA MUHIMU KUKUTOA TONGOTONGO PAMOJA NA KULA RASILIMALI ZETU KIASI KILE ILI ANGALAU UWE ORDINARY KIUPEO
 
Willy,
Sina uhakika kama umeuliza swali, umeshangaa, umehamaki, au hujaelewa unajua mwenyewe.

Ningependa kuchangia, chadema haipendi umasikini inaupiga vita haiutaki wala haitaki kuiusikia.Chadema ingependa kila mwenye kufanya kazi kwa bidii na kupata kipato halali aishi maisha ayapendayo kutokana na jasho lake. Chadema haijawahi kumchukia mtu kwa mali zake, au vito vyake vya thamani alivyopata kwa halali.

Chadema inapiga kelele matumizi makubwa ya serikali pamoja na matumizi mabovu ya mali za yakiwemo magari ya kifahari yanayonunuliwa kwa kodi za wananchi na kuendeshwa kwa kodi za wananchi. Ni kweli kabisa Chadema kinapokea ruzuku kutoka serikalini na michango ya watu wa kawaida.

A) Huwezi kutumia picha ya miaka ya 80 mazingira maisha na wakati ukafananisha na sasa. ndio baba yangu alitembea kwa miguu kilomita ishiri na tano kwenda shule kila siku nakurudi hivyo wanangu watembee?

B) Mbowe ni Mbunge, Mfanyabiashara kama niko sawa magari ya wabunge ni mali yao binafsi na kila mbunge hununua gari alipendalo kwani ni mali yake na analihumia mwenyewe. Pili Mbowe ni mfanyabiashara na anautajiri ambao sijasikia ukipigwa kelele hivyo ni fedha halali ana uwezo wa kutumia gari alipendalo kwa fedha zake.

C) Tuletee ushahidi kwamba gari analotumia Mbowe ni mali ya Chadema. Swala la walinzi naona hapa ni wivu kwenye watu wengi vile unataka Mbowe asilindwe? Swala la walinzi sio mapenzi yake kila mtu angependa kulala bila nondo kwenye madirisha yetu ije kuwa Kiongozi anayetafutwa na CCM usiku na mchana ile wamzuru?

D) Tuletee ushahidi wa matumizi mabovu ya fedha za Chama (CDM) kama unao.

Chadema wakiingia madaraka kwa taarifa yako hakuna mtumishi wa serikali anakuwa na gari la serikali zaidi ya Ikulu. Wengine wote watapewa mishahara wafike kazini kwa ungo, bodaboda watajijua, atakayetaka kununua bajaji au Range kwa mshahara wake hatapigiwa kelele.

Tatizo kubwa la maisha magumu sio Mbowe anaendesha nini au ataendesha nini kama ana uwezo wake binafsi hilo sio shida. Tatizo letu kama nchi ni kuendelea kuwanunulia kina Sumayi, Lowassa, Malecella, warioba nk magari ya thamani ma VX kwa fedha zetu wavuja jasho wakati wamestaafu badala ya kuwapa corolla kuendea sokoni. Wizi, ufisadi na matumizi mabovu ya ofisi kwa manufaa ya watoto na jamaa zao.

Sina matatizo kama unaushahidi yale ni magari ya CDM (VXs) kama huna utakuwa ni wivu wa mtu mzima. Nijuavyo mimi wabunge wa CDM wanamagari yao waliyokopeshwa fedha kila mmoja akanunua na mkopo analipa kila mwezi. magari yale ndio wanajitolea kwenye shughuli za chama. Mbowe anajitolea magari yake binafsi mengi sana kwenye shughuli za chama. Kama hujui fika ofisi za chama ulizia. Chadema wengi wanajitoa kusaidia ukombozi huu.

Chief Mkwawa wa Kalenga
 
ki.
Margaret__BourkeWhite__Portrait_of_Mahatma_Ghandi.jpg


Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William.
Ni ruksa mtu yeyote kutumia Gari la aina yeyote ile maadamu uwazo wake unaruhusu. Pia ni lazima ukumbuke kwamba hayo si magari ya serikali yanayonunuliwa kwa kodi ya wananchi. Kilio chetu watanzania ni serikali kupunguza gharama zisizo za lazima kwani Serikali inaendeshwa kwa kodi zetu. Kama mtu mwengine ana uwezo wake binafsi wa kununua gari la aina yeyote ile ni ruksa maana ni fedha yake na wala sio kodi ya walala hoi, na kama taasisi nyingine yeyote inataka kununua chochote cha gharama ni ruksa, maana inawahusu wao kama taasisi na sio kutumia fedha za watanzania wote. Tunachopinga kwa nguvu zote ni viongozi wa serikali kununuliwa vitu vya gharama kubwa bila ulazima wowote wa kufanya hivyo kwani hiyo ni fedha ya umma. Ila hata kiongozi wa serikali ni ruksa kabisa kutumia gari la aina yeyote ile ili mradi ametumia fedha zake mwenyewe na awe amezipata kihalali, Au kwa kutumia fedha nyingine yeyote ambayo ni halali na isiyotokana na kodi zetu. Tafadhali usitumie hali hii kuhalalisha matumizi yenu mabaya ya fedha za umma maana ninyi magamba mmekubuhu kwa hilo.
 
Willy,
Sina uhakika kama umeuliza swali, umeshangaa, umehamaki, au hujaelewa unajua mwenyewe.

Ningependa kuchangia, chadema haipendi umasikini inaupiga vita haiutaki wala haitaki kuiusikia.Chadema ingependa kila mwenye kufanya kazi kwa bidii na kupata kipato halali aishi maisha ayapendayo kutokana na jasho lake. Chadema haijawahi kumchukia mtu kwa mali zake, au vito vyake vya thamani alivyopata kwa halali.

Chadema inapiga kelele matumizi makubwa ya serikali pamoja na matumizi mabovu ya mali za yakiwemo magari ya kifahari yanayonunuliwa kwa kodi za wananchi na kuendeshwa kwa kodi za wananchi. Ni kweli kabisa Chadema kinapokea ruzuku kutoka serikalini na michango ya watu wa kawaida.

A) Huwezi kutumia picha ya miaka ya 80 mazingira maisha na wakati ukafananisha na sasa. ndio baba yangu alitembea kwa miguu kilomita ishiri na tano kwenda shule kila siku nakurudi hivyo wanangu watembee?

B) Mbowe ni Mbunge, Mfanyabiashara kama niko sawa magari ya wabunge ni mali yao binafsi na kila mbunge hununua gari alipendalo kwani ni mali yake na analihumia mwenyewe. Pili Mbowe ni mfanyabiashara na anautajiri ambao sijasikia ukipigwa kelele hivyo ni fedha halali ana uwezo wa kutumia gari alipendalo kwa fedha zake.

C) Tuletee ushahidi kwamba gari analotumia Mbowe ni mali ya Chadema. Swala la walinzi naona hapa ni wivu kwenye watu wengi vile unataka Mbowe asilindwe? Swala la walinzi sio mapenzi yake kila mtu angependa kulala bila nondo kwenye madirisha yetu ije kuwa Kiongozi anayetafutwa na CCM usiku na mchana ile wamzuru?

D) Tuletee ushahidi wa matumizi mabovu ya fedha za Chama (CDM) kama unao.

Chadema wakiingia madaraka kwa taarifa yako hakuna mtumishi wa serikali anakuwa na gari la serikali zaidi ya Ikulu. Wengine wote watapewa mishahara wafike kazini kwa ungo, bodaboda watajijua, atakayetaka kununua bajaji au Range kwa mshahara wake hatapigiwa kelele.

Tatizo kubwa la maisha magumu sio Mbowe anaendesha nini au ataendesha nini kama ana uwezo wake binafsi hilo sio shida. Tatizo letu kama nchi ni kuendelea kuwanunulia kina Sumayi, Lowassa, Malecella, warioba nk magari ya thamani ma VX kwa fedha zetu wavuja jasho wakati wamestaafu badala ya kuwapa corolla kuendea sokoni. Wizi, ufisadi na matumizi mabovu ya ofisi kwa manufaa ya watoto na jamaa zao.

Sina matatizo kama unaushahidi yale ni magari ya CDM (VXs) kama huna utakuwa ni wivu wa mtu mzima. Nijuavyo mimi wabunge wa CDM wanamagari yao waliyokopeshwa fedha kila mmoja akanunua na mkopo analipa kila mwezi. magari yale ndio wanajitolea kwenye shughuli za chama. Mbowe anajitolea magari yake binafsi mengi sana kwenye shughuli za chama. Kama hujui fika ofisi za chama ulizia. Chadema wengi wanajitoa kusaidia ukombozi huu.

Chief Mkwawa wa Kalenga
ki.
Margaret__BourkeWhite__Portrait_of_Mahatma_Ghandi.jpg


- Sometimes ni kuacha picha ziseme ukweli kuliko makelele na matusi!, mkuu tizama FACTS hapo zinavyojisema!

William.
 
William kweli ni mbumbumbu mzungu wa reli

Unalinganisha ukombozi wa enzi za wakoloni na wavamizi na mapinduzi ya kiitikadi??? kweli kabisa unataka kutuaminisha kwamba baba yako, mmoja wa watu walioharibu sana nchi yetu kwa kukaa serikalini miaka mingi bila kuwa na hata kitu kimoja cha kujivunia zaidi ya kuoa mwanasiasa mwenzake ni sawa na peter botha, sir donald cameroon, au wakoloni wa kireno??

KWeli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi............. umebaki minyama-minyama tu lakini brains hakuna propotion kabisa na hizo nyma-nyama mkuu

UNGEKUA KAMA REJAO NINGEACHA TU IPITE LAKINI WEWE SIWEZI KUACH, HEBU USITUAMINISHE KWAMBA MZEE HAKUWA NA JITIHADA ZA MUHIMU KUKUTOA TONGOTONGO PAMOJA NA KULA RASILIMALI ZETU KIASI KILE ILI ANGALAU UWE ORDINARY KIUPEO

hahahahahahaha!
hakuna ushirikiano kabisa kati ya umri na matendo, achilia mbali mwili na matendo, loh!
 
Ni ruksa mtu yeyote kutumia Gari la aina yeyote ile maadamu uwazo wake unaruhusu. Pia ni lazima ukumbuke kwamba hayo si magari ya serikali yanayonunuliwa kwa kodi ya wananchi. Kilio chetu watanzania ni serikali kupunguza gharama zisizo za lazima kwani Serikali inaendeshwa kwa kodi zetu. Kama mtu mwengine ana uwezo wake binafsi wa kununua gari la aina yeyote ile ni ruksa maana ni fedha yake na wala sio kodi ya walala hoi, na kama taasisi nyingine yeyote inataka kununua chochote cha gharama ni ruksa, maana inawahusu wao kama taasisi na sio kutumia fedha za watanzania wote. Tunachopinga kwa nguvu zote ni viongozi wa serikali kununuliwa vitu vya gharama kubwa bila ulazima wowote wa kufanya hivyo kwani hiyo ni fedha ya umma. Ila hata kiongozi wa serikali ni ruksa kabisa kutumia gari la aina yeyote ile ili mradi ametumia fedha zake mwenyewe na awe amezipata kihalali, Au kwa kutumia fedha nyingine yeyote ambayo ni halali na isiyotokana na kodi zetu. Tafadhali usitumie hali hii kuhalalisha matumizi yenu mabaya ya fedha za umma maana ninyi magamba mmekubuhu kwa hilo.

- Angalau umekubali kwamba hili tatizo huna jawabu nalo kuliko wanaojifanya kurusha matusi, na maneno mengi, watawala wana vx8 na nyinyi yale yale, aibuuu sana!

- Tizama wale wananchi waliojazana pale, wao wamekuja kwa miguu lakini viongozi wao wanakuja na m-vx8 wapo na kulia peoples power! ya nani sema VX-8 power!

William.
 
ki

William kweli ni mbumbumbu mzungu wa reli

Unalinganisha ukombozi wa enzi za wakoloni na wavamizi na mapinduzi ya kiitikadi??? kweli kabisa unataka kutuaminisha kwamba baba yako, mmoja wa watu walioharibu sana nchi yetu kwa kukaa serikalini miaka mingi bila kuwa na hata kitu kimoja cha kujivunia zaidi ya kuoa mwanasiasa mwenzake ni sawa na peter botha, sir donald cameroon, au wakoloni wa kireno??

KWeli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi............. umebaki minyama-minyama tu lakini brains hakuna propotion kabisa na hizo nyma-nyama mkuu

UNGEKUA KAMA REJAO NINGEACHA TU IPITE LAKINI WEWE SIWEZI KUACH, HEBU USITUAMINISHE KWAMBA MZEE HAKUWA NA JITIHADA ZA MUHIMU KUKUTOA TONGOTONGO PAMOJA NA KULA RASILIMALI ZETU KIASI KILE ILI ANGALAU UWE ORDINARY KIUPEO

- Somo limeeleweka maana ndio JF style, matusi yakizidi ujue somo limeeleweka, that is all I could ask kutoka kwa grreat thinkers!

William.
 
Ndio hoja hizi ulizokuwa unaenda kujenga EALA?.......Baharia ni baharia tu kiboko yake Al shabaab.
 
Back
Top Bottom