Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
View attachment 54787
- Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!
William.
Mkuu ulitaka Savimbi akaishi jumba la kifahari huko Luanda akiwa na mitutu huku watawala wakimuangalia tu! Hayo hapo juu ndio maisha ya wakombozi wote. Ninachokisema ni kwamba hapa hakuna wakombozi ila watu wanaotaka kuwaondoa watawala ili wao watawale. Mtu kuitwa mkombozi si mchezo. Mara nyingi wakombozi huwa si wanasiasa japokuwa wakishakomboa wengine hugeuka na kuwa wanasiasa wa hovyo kabisa!