Salaam, Shalom!!!
I declare interest, Rabbon ni mdau wa watoto, nimekuwa katika kitengo hicho Kwa miaka mingi sasa katika Imani.
Viongozi wapo wa Kuzaliwa Toka tumboni, na wapo wa kufundishwa. Likewise wanasiasa wa Kuzaliwa wasizuiwe.
Katika umri wa kuanzia miaka 4 Hadi mitano, tayari unaweza jua mtoto uliyenaye darasani au nyumbani ana kipaji Gani. KAZI inayobaki ni kukipalilia kipaji na kukiwekea mbolea kikue na kuleta matunda.
Footbollers wanapatikana wakiwa katika umri mdogo kabisa kuanzia miaka 4 na kuendelea, waimbaji,waombaji, engineers, drivers, wachoraji nk nk wanajulikana katika umri mdogo.
Kwakuwa Tanzania kama nchi Ina miaka mingi ijayo, ni muhimu viongozi waandaliwe wakiwa WADOGO kabisa.
Nimefurahi kuona ujasiri wa kujieleza wa mtoto wa Msanii Shetta, hicho ni kipaji, alelewe na atatufaa sana baadaye.
Wakubwa pia Huwa wanakosea, haikuwa sahihi kuzuia chipukizi katika vyama, makazini, katika kwaya, na sekta mbalimbali Kwa kigezo Cha shule.
Watoto wasome, lakini vipaji vyao viendelezwe na kupewa nafasi mapema kuanza kuongoza.
Rabbon tayari ninao walimu watakaokuja kushika nafasi zetu tutakapopumzika, na ni watoto. Wahubiri wazuri tayari wanakuzwa, wapo mashuleni lakini wanajitambua ni akina nani, wapo mashemasi wa watoto kuanzia miaka 8 na kuendelea, wanasoma, lakini siku ya IBADA wanashika zamu zao.
Utaratibu mzuri uwekwe kuwapokea Chipukizi katika kada mbalimbali.
Vyama vingine pia vichangamkie fursa mapema.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen
I declare interest, Rabbon ni mdau wa watoto, nimekuwa katika kitengo hicho Kwa miaka mingi sasa katika Imani.
Viongozi wapo wa Kuzaliwa Toka tumboni, na wapo wa kufundishwa. Likewise wanasiasa wa Kuzaliwa wasizuiwe.
Katika umri wa kuanzia miaka 4 Hadi mitano, tayari unaweza jua mtoto uliyenaye darasani au nyumbani ana kipaji Gani. KAZI inayobaki ni kukipalilia kipaji na kukiwekea mbolea kikue na kuleta matunda.
Footbollers wanapatikana wakiwa katika umri mdogo kabisa kuanzia miaka 4 na kuendelea, waimbaji,waombaji, engineers, drivers, wachoraji nk nk wanajulikana katika umri mdogo.
Kwakuwa Tanzania kama nchi Ina miaka mingi ijayo, ni muhimu viongozi waandaliwe wakiwa WADOGO kabisa.
Nimefurahi kuona ujasiri wa kujieleza wa mtoto wa Msanii Shetta, hicho ni kipaji, alelewe na atatufaa sana baadaye.
Wakubwa pia Huwa wanakosea, haikuwa sahihi kuzuia chipukizi katika vyama, makazini, katika kwaya, na sekta mbalimbali Kwa kigezo Cha shule.
Watoto wasome, lakini vipaji vyao viendelezwe na kupewa nafasi mapema kuanza kuongoza.
Rabbon tayari ninao walimu watakaokuja kushika nafasi zetu tutakapopumzika, na ni watoto. Wahubiri wazuri tayari wanakuzwa, wapo mashuleni lakini wanajitambua ni akina nani, wapo mashemasi wa watoto kuanzia miaka 8 na kuendelea, wanasoma, lakini siku ya IBADA wanashika zamu zao.
Utaratibu mzuri uwekwe kuwapokea Chipukizi katika kada mbalimbali.
Vyama vingine pia vichangamkie fursa mapema.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen