Naunga mkono Chipukizi katika siasa na kada zingine

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,167
22,687
Salaam, Shalom!!!

I declare interest, Rabbon ni mdau wa watoto, nimekuwa katika kitengo hicho Kwa miaka mingi sasa katika Imani.

Viongozi wapo wa Kuzaliwa Toka tumboni, na wapo wa kufundishwa. Likewise wanasiasa wa Kuzaliwa wasizuiwe.

Katika umri wa kuanzia miaka 4 Hadi mitano, tayari unaweza jua mtoto uliyenaye darasani au nyumbani ana kipaji Gani. KAZI inayobaki ni kukipalilia kipaji na kukiwekea mbolea kikue na kuleta matunda.

Footbollers wanapatikana wakiwa katika umri mdogo kabisa kuanzia miaka 4 na kuendelea, waimbaji,waombaji, engineers, drivers, wachoraji nk nk wanajulikana katika umri mdogo.

Kwakuwa Tanzania kama nchi Ina miaka mingi ijayo, ni muhimu viongozi waandaliwe wakiwa WADOGO kabisa.

Nimefurahi kuona ujasiri wa kujieleza wa mtoto wa Msanii Shetta, hicho ni kipaji, alelewe na atatufaa sana baadaye.

Wakubwa pia Huwa wanakosea, haikuwa sahihi kuzuia chipukizi katika vyama, makazini, katika kwaya, na sekta mbalimbali Kwa kigezo Cha shule.

Watoto wasome, lakini vipaji vyao viendelezwe na kupewa nafasi mapema kuanza kuongoza.

Rabbon tayari ninao walimu watakaokuja kushika nafasi zetu tutakapopumzika, na ni watoto. Wahubiri wazuri tayari wanakuzwa, wapo mashuleni lakini wanajitambua ni akina nani, wapo mashemasi wa watoto kuanzia miaka 8 na kuendelea, wanasoma, lakini siku ya IBADA wanashika zamu zao.

Utaratibu mzuri uwekwe kuwapokea Chipukizi katika kada mbalimbali.

Vyama vingine pia vichangamkie fursa mapema.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Amen
 
Fafanua,

Ukiondoa WIVU na mkumbo, wanapinga chipukizi hawana HOJA.

Sisi tunaandaa Marais wajao, mawaziri, walimu wajao tangu wakiwa watoto.

Katika masuala yanayogusa USTAWI wa nchi, Rabbon Huwa nimenyooka kama rula!!
 
Salaam, Shalom!!!

I declare interest, Rabbon ni mdau wa watoto, nimekuwa katika kitengo hicho Kwa miaka mingi sasa katika Imani.

Viongozi wapo wa Kuzaliwa Toka tumboni, na wapo wa kufundishwa. Likewise wanasiasa wa Kuzaliwa wasizuiwe.

Katika umri wa kuanzia miaka 4 Hadi mitano, tayari unaweza jua mtoto uliyenaye darasani au nyumbani ana kipaji Gani. KAZI inayobaki ni kukipalilia kipaji na kukiwekea mbolea kikue na kuleta matunda.

Footbollers wanapatikana wakiwa katika umri mdogo kabisa kuanzia miaka 4 na kuendelea, waombaji, engineers, drivers, wachoraji nk nk wanajulikana katika umri mdogo.

Kwakuwa Tanzania kama nchi Ina miaka mingi ijayo, ni muhimu viongozi waandaliwe wakiwa WADOGO kabisa.

Nimefurahi kuona ujasiri wa kujieleza wa mtoto wa Msanii Shetta, hicho ni kipaji, alelewe na atatufaa sana baadaye.

Wakubwa pia Huwa wanakosea, haikuwa sahihi kuzuia chipukizi katika vyama, makazini, katika kwaya, na sekta mbalimbali Kwa kigezo Cha shule.

Watoto wasome, lakini vipaji vyao viendelezwe na kupewa nafasi mapema kuanza kuongoza.

Rabbon tayari ninao walimu watakaokuja kushika nafasi zetu tutakapopumzika, na ni watoto. Wahubiri wazuri tayari wanakuzwa, wapo mashuleni lakini wanajitambua ni akina nani, wapo mashemasi wa watoto kuanzia miaka 8 na kuendelea, wanasoma, lakini siku ya IBADA wanashika zamu zao.

Utaratibu mzuri uwekwe kuwapokea Chipukizi katika kada mbalimbali.

Vyama vingine pia vichangamkie fursa mapema.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Amen
Kiongozi mzuri ni yule anayejua kujieleza au kutenda?
 
Uko sawa kuona uonavyo,

Wapo pia watakaosoma nina akili mingi.

Uwaheshimu pia.

Karibu🙏

Katika dunia ya leo ya Teknolojia wewe bado umekomaa na chip ukizingatia kweli,Hujui kama tuna vyuo kibao vinavyofundisha UONGOZI?

Ho watoto wanafundishwa WIZI na UTAPELI TU hakuna lolote!
 
Mambo ya kizamani Sana haya.

Anyways mmeruhusu wenyewe sasa subirini vyama vya upinzani viwaoneshe how to do it ila msiwakataze tu

Huwa Mara zote mkiwa outsmarted na machadema mnaishia kupiga marufuku
 
Katika dunia ya leo ya Teknolojia wewe bado umekomaa na chip ukizingatia kweli,Hujui kama tuna vyuo kibao vinavyofundisha UONGOZI?

Ho watoto wanafundishwa WIZI na UTAPELI TU hakuna lolote!
Nimetanguliza kudeclare interest hapo mwanzo.

Ikiwa wanafanya hivyo basi wanakosea.

Mimi nimeshiriki kukuza vipaji vingi katika umri huo,

Na sasa ni viongozi katika Kila hatua waendayo.

Hilo ni jambo jema ikiwa tutalichukia Positive.
 
Mambo ya kizamani Sana haya.

Anyways mmeruhusu wenyewe sasa subirini vyama vya upinzani viwaoneshe how to do it ila msiwakataze tu

Huwa Mara zote mkiwa outsmarted na machadema mnaishia kupiga marufuku
CHADEMA waanzishe haraka.

Uzuri Rabbon Hana chama.

Ikiwa watoto katika umri huo huo wanafundishwa kabumbu, iweje iwe nongwa katika siasa?

Tumechelewa sana.
 
CHADEMA waanzishe haraka.

Uzuri Rabbon Hana chama.

Ikiwa watoto katika umri huo huo wanafundishwa kabumbu, iweje iwe nongwa katika siasa?

Tumechelewa sana.
Ni jambo zuri lakini lingebaki katika kada zingine ulizotaja ila kwenye siasa wangeingizwa wakiwa wanajitambua kidogo labda kuanzia 20 years.
Enzi za TANU ilikuwa ni chama kimoja kwaiyo haikuwa shida lakini kwasasa tuna vyama vingi na siasa zetu za maji taka hizi tutatengeneza makundi sugu au Panyaroad wa kisiasa.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ni jambo zuri lakini lingebaki katika kada zingine ulizotaja ila kwenye siasa wangeingizwa wakiwa wanajitambua kidogo labda kuanzia 20 years.
Enzi za TANU ilikuwa ni chama kimoja kwaiyo haikuwa shida lakini kwasasa tuna vyama vingi na siasa zetu za maji taka hizi tutatengeneza makundi sugu au Panyaroad wa kisiasa.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kwanini kada zingine ziruhusiwe, siasa iachwe?

Unaamini hata CHADEMA wakianza mapema watazalisha panyaroad wa kisiasa?
 
Salaam, Shalom!!!

I declare interest, Rabbon ni mdau wa watoto, nimekuwa katika kitengo hicho Kwa miaka mingi sasa katika Imani.

Viongozi wapo wa Kuzaliwa Toka tumboni, na wapo wa kufundishwa. Likewise wanasiasa wa Kuzaliwa wasizuiwe.

Katika umri wa kuanzia miaka 4 Hadi mitano, tayari unaweza jua mtoto uliyenaye darasani au nyumbani ana kipaji Gani. KAZI inayobaki ni kukipalilia kipaji na kukiwekea mbolea kikue na kuleta matunda.

Footbollers wanapatikana wakiwa katika umri mdogo kabisa kuanzia miaka 4 na kuendelea, waimbaji,waombaji, engineers, drivers, wachoraji nk nk wanajulikana katika umri mdogo.

Kwakuwa Tanzania kama nchi Ina miaka mingi ijayo, ni muhimu viongozi waandaliwe wakiwa WADOGO kabisa.

Nimefurahi kuona ujasiri wa kujieleza wa mtoto wa Msanii Shetta, hicho ni kipaji, alelewe na atatufaa sana baadaye.

Wakubwa pia Huwa wanakosea, haikuwa sahihi kuzuia chipukizi katika vyama, makazini, katika kwaya, na sekta mbalimbali Kwa kigezo Cha shule.

Watoto wasome, lakini vipaji vyao viendelezwe na kupewa nafasi mapema kuanza kuongoza.

Rabbon tayari ninao walimu watakaokuja kushika nafasi zetu tutakapopumzika, na ni watoto. Wahubiri wazuri tayari wanakuzwa, wapo mashuleni lakini wanajitambua ni akina nani, wapo mashemasi wa watoto kuanzia miaka 8 na kuendelea, wanasoma, lakini siku ya IBADA wanashika zamu zao.

Utaratibu mzuri uwekwe kuwapokea Chipukizi katika kada mbalimbali.

Vyama vingine pia vichangamkie fursa mapema.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA

Amen
Akili za waisiharamu hizi
 
Haina tofauti na utumikishaji wa watoto kama askari au kwenye ngono.

Sema tu mambo ya ovyo ni mengi mno.
 
Back
Top Bottom