LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Kwani hakuna faini?? Mbona story haiko kamili?Mwenyekiti wa Bawacha Rorya ambaye jana alihudhuria kongamano la Chadema leo amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja.
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe yuko ziarani mkoani Mara.
Taarifa rasmi itawajia punde.
Kazi Iendelee!