Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,187
- 671
mwenyekiti wa AU mheshimiwa JK anatarajiwa kuwasili kenya saa yeyote leo hii ktk kuhimiza harakati la suluhu nchini kenya.
hali hii inatokana na kukwama kwa mazungumzo hayo baada ya vyama vyenye kupinzana kutofikia makubaliano ya kugawana madaraka au kupanga majukumu ya nafasi ya waziri mkuu, hali ambayo imeyaweka mazungumzo hayo ktk rehani.
tumuombee JK aweze kusaidia harakati hizo ili ndugu zetu wa kenya wapate amani na ss tanzania tupate kujenga heshima yetu katika harakati za kuleta amani barani afrika
kila la heri mheshimiwa mwenyekiti wa AU
hali hii inatokana na kukwama kwa mazungumzo hayo baada ya vyama vyenye kupinzana kutofikia makubaliano ya kugawana madaraka au kupanga majukumu ya nafasi ya waziri mkuu, hali ambayo imeyaweka mazungumzo hayo ktk rehani.
tumuombee JK aweze kusaidia harakati hizo ili ndugu zetu wa kenya wapate amani na ss tanzania tupate kujenga heshima yetu katika harakati za kuleta amani barani afrika
kila la heri mheshimiwa mwenyekiti wa AU