...tabu ya wabongo ndio hiyo watu wakisema ukweli mnadai ni siasa sasa wasipolipa maji hiyo DAWASCO itadumu kweli?? M nadhani huu tukitoka kwenye maji ifatie wasiolipa bill za umeme angalau Tanesco nayo inaweza kuzinduka, then EPA, na kwingineko acheni unafiki hakuna politiki hapa ni kazi tu wasipodai kwa njia hiyo mashirika yanakufa nyie ndio wa kwanza kutangaza lawama kwamba wa-tz hawajui kuendesha mashirika yao. Mbona Net group solution walipokata umeme kwenye wizara na sehemu nyingine nyeti walilipa bill zao.... Mnataka kuleana sio??? hawa wanaojifanya waheshimiwa ndio wanaua nchi kwa kupenda miteremko huku wanavunja vishoka kwenye mashangingi tuliyolipia kodi zetu....Uchafu mtupu!!!