johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,897
Manara ni mwalimu wa madrasa pale Ilala!Haji Manara ni wale wale kina Zembwela hana elimu
In God we Trust
Manara ni mwalimu wa madrasa pale Ilala!Haji Manara ni wale wale kina Zembwela hana elimu
In God we Trust
chadema yeyote kukurupuka ndio jadi yakeMrema amekurupuka kana kwamba amefumaniwa!
Kitenge ni CCM kuna wakati aligombea ubunge Tabora mjini yeye na Rage wakaangukia pua.Kitenge ni jilani yangu kabisa hizo habari za ukada hanaga mpango kabisa
In God we Trust
John anatafuta kiki ya kugombea naona kitenge atambebaNimeambiwa kuwa Wasafi FM Leo asubuhi wamenichafua saana na kusema kuwa Mke wangu ni Mbunge kwa sababu tu nilimtaka Spika wa Bunge aache Propaganda. Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye. Asipofanya hivyo nitajiongeza!..John Mrema
ISIJE KUWA YALE YA JERRY MURO NA MWENZIE MANARA....
MANARA ALISEMA KUNA JAMBO ANALO KUHUSU MURO AMBALO AKILISEMA NCHI NZIMA ITASIMAMA NA ATAVULIWA CHEO ALICHONACHO.
HADI LEO JERRY MURO KATULIA TULIIIIII
Unaota wewe eti haji alimnyamazisha jerry. Haji alikimbilia kote mpaka msikitini mpaka tff mwamba jery anaongea mara moja tuISIJE KUWA YALE YA JERRY MURO NA MWENZIE MANARA....
MANARA ALISEMA KUNA JAMBO ANALO KUHUSU MURO AMBALO AKILISEMA NCHI NZIMA ITASIMAMA NA ATAVULIWA CHEO ALICHONACHO.
HADI LEO JERRY MURO KATULIA TULIIIIII
Kwa hiyo ulitaka ccm wambeben chambi?Uko sahihi , Zembwela anajipendekeza ccm , halafu cha kusikitisha ccm haijawahi kumthamini , amuangalie Nchambi kama mfano hai .
Shetani hana rafiki .
A msNi kweli Ndugu yangu yaani tokea DC Jerry Muro ajambishwe ( apigwe mkwara ) na Haji Manara juu ya hilo amekuwa Mpole.
Kuambiwa kuwa una mbe mbunge wakati huna nako ni kuchafuliwa?Mrema amekurupuka kana kwamba amefumaniwa!
Kitenge ni CCM kuna wakati aligombea ubunge Tabora mjini yeye na Rage wakaangukia pua.
Mwaka huu anajaribu tena kwa ufadhili wa Rostam!
Anajipanga kama mungu atapenda kugombea Tabora kwa kutafuta maisha ila siyo mfurukutwa kivileHuyo unayesema kuwa eti. hajawi kuwa mwana CCM kwa taarifa yako mwaka 2020 atagombea Ubunge Temeke au Tabora.
Nenda Twitter utaona jibu alilotoa maulid kitenge linatosha kumaliza mjadala mwisho wa siku Mrema ndo anaepaswa kuomba msamaha kwa kuandika vitu asivyokua na uhakika navyo
Zembwela aliishia la 6C!