MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Wakati Watangazaji wenzake Wanaojitambua, wenye Elimu Kubwa kwa Fani aliyopo na waliomzidi Akili wakipongeza 'Merchandise and Events Deal' ya Kampuni ya VUNJA BEI na Simba SC Mtangazaji wa Wasafi FM Maulid Kitenge (Mwana Yanga SC lia lia) kaja na 'Majungu' yake yale yale.
"Kwanini Simba SC imeachana ghafla na Kampuni ya Sunderland Only One iliyokuwa inaelekea Kushinda Tenda hiyo na kuikubalia Vunja Bei? "
"Sunderland Only One walikuwa tayari kutoa Cash ya Tsh Bilioni 1 kwa Simba SC tunataka na hawa Vunja Bei nao watoe hiyo hela ".
Ndipo baadae Mchambuzi Mwendamizi hapo hapo Wasafi FM Msomi wa IFM na Wakala wa Wachezaji George Job (ambaye pia ni mwana Yanga SC Mwenzake) alipojitokeza na Kumfafanulia vizuri na kumfanya Maulid Kitenge aonekane kweli ni 'empty set' kabisa
"Si kweli Maulid Kitenge Sunderland Only One hawajafanyiwa mtimanyongo wa Kushinda hiyo Tenda na Simba SC mpaka Vunja Bei akashinda "
"Ukweli ni kwamba Vunja Bei alifanya Presentation nzuri sana ambayo haikuishia tu kusema Simba SC itapata Faida kama walivyofanya Sunderland Only One bali wao Vunja Bei walienda mbali zaidi kwa kuahidi Kuipanua zaidi Simba SC Kimataifa hasa katika Matukio ya Kimkakati kitu ambacho hata Mimi George Job nakipongeza na nawapongeza sana hawa Vunja Bei "
Simba SC endeleeni tu Kumlea huyu Mtangazaji Maulid Kitenge na hizi 'choko choko' zake za kila mara kwa Simba SC ila kuna Siku Mashabiki uvumilivu utawashinda na wataamua Kumfanyia kile ambacho 'Mwarabu' wa iliyokuwa TIOT enzi hizo alikuwa akimfanyia na Yeye Kukifurahia pia.
Inakera na tumeshamchoka hivi sasa.
"Kwanini Simba SC imeachana ghafla na Kampuni ya Sunderland Only One iliyokuwa inaelekea Kushinda Tenda hiyo na kuikubalia Vunja Bei? "
"Sunderland Only One walikuwa tayari kutoa Cash ya Tsh Bilioni 1 kwa Simba SC tunataka na hawa Vunja Bei nao watoe hiyo hela ".
Ndipo baadae Mchambuzi Mwendamizi hapo hapo Wasafi FM Msomi wa IFM na Wakala wa Wachezaji George Job (ambaye pia ni mwana Yanga SC Mwenzake) alipojitokeza na Kumfafanulia vizuri na kumfanya Maulid Kitenge aonekane kweli ni 'empty set' kabisa
"Si kweli Maulid Kitenge Sunderland Only One hawajafanyiwa mtimanyongo wa Kushinda hiyo Tenda na Simba SC mpaka Vunja Bei akashinda "
"Ukweli ni kwamba Vunja Bei alifanya Presentation nzuri sana ambayo haikuishia tu kusema Simba SC itapata Faida kama walivyofanya Sunderland Only One bali wao Vunja Bei walienda mbali zaidi kwa kuahidi Kuipanua zaidi Simba SC Kimataifa hasa katika Matukio ya Kimkakati kitu ambacho hata Mimi George Job nakipongeza na nawapongeza sana hawa Vunja Bei "
Simba SC endeleeni tu Kumlea huyu Mtangazaji Maulid Kitenge na hizi 'choko choko' zake za kila mara kwa Simba SC ila kuna Siku Mashabiki uvumilivu utawashinda na wataamua Kumfanyia kile ambacho 'Mwarabu' wa iliyokuwa TIOT enzi hizo alikuwa akimfanyia na Yeye Kukifurahia pia.
Inakera na tumeshamchoka hivi sasa.