Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Hata angekua la3z, hapa kwetu cyo u-DC tu, hakuna asichoweza!Zembwela aliishia la 6C!
Hata angekua la3z, hapa kwetu cyo u-DC tu, hakuna asichoweza!Zembwela aliishia la 6C!
Mshauri awahi mahakamani
CCM inathamini watu elimulessUko sahihi , Zembwela anajipendekeza ccm , halafu cha kusikitisha ccm haijawahi kumthamini , amuangalie Nchambi kama mfano hai .
Shetani hana rafiki .
Haji Manara ni wale wale kina Zembwela hana elimu
In God we Trust
bora awe na akili asiwe na elimu.
Noted.Kitenge alishasemaga yeye habari anazoongea anazisoma kwenye magazeti..kwaio yakuhojiwa ni magazeti sio yeye anaesoma
May b choko na haji keshamchokoa! Maana haji ndo kazi zake izo!Ni kweli Ndugu yangu yaani tokea DC Jerry Muro ajambishwe ( apigwe mkwara ) na Haji Manara juu ya hilo amekuwa Mpole.
Ni kweli Ndugu yangu yaani tokea DC Jerry Muro ajambishwe ( apigwe mkwara ) na Haji Manara juu ya hilo amekuwa Mpole.
ISIJE KUWA YALE YA JERRY MURO NA MWENZIE MANARA....
MANARA ALISEMA KUNA JAMBO ANALO KUHUSU MURO AMBALO AKILISEMA NCHI NZIMA ITASIMAMA NA ATAVULIWA CHEO ALICHONACHO.
HADI LEO JERRY MURO KATULIA TULIIIIII
Inawezekana mkuu,wengine mambo ya chama huwa hawapendi kabisa ila wanafanya timing tu ya ubunge waingie mjengoni.Unagombeaje ubunge bila kua kada?
Ana elimu ya madrassa pale KariakooHaji Manara ni wale wale kina Zembwela hana elimu
In God we Trust
Acha chuki za ukewenza weweDiamond kaiuwa wasafi hata haijafika Morogoro sasa hv ameingia mtego wa kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii uku akilialia clouds kutopiga nyimbo zake double standard! WCB imekuwa media ya ovyo kukopy vipindi ovyo kabisa
Hahaha!!!!!ISIJE KUWA YALE YA JERRY MURO NA MWENZIE MANARA....
MANARA ALISEMA KUNA JAMBO ANALO KUHUSU MURO AMBALO AKILISEMA NCHI NZIMA ITASIMAMA NA ATAVULIWA CHEO ALICHONACHO.
HADI LEO JERRY MURO KATULIA TULIIIIII
Mkuu tec Wasafi na klauzi ni walewale tuDiamond kaiuwa wasafi hata haijafika Morogoro sasa hv ameingia mtego wa kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii uku akilialia clouds kutopiga nyimbo zake double standard! WCB imekuwa media ya ovyo kukopy vipindi ovyo kabisa