Mwenye ukweli kamili juu ya Mzozo wa Mtangazaji Maulid Kitenge (CCM) na John Mrema (CHADEMA) auweke wazi

Mzukulu

JF-Expert Member
Feb 14, 2020
1,401
2,631
Nimeambiwa kuwa Wasafi FM Leo asubuhi wamenichafua saana na kusema kuwa mke wangu ni Mbunge kwa sababu tu nilimtaka Spika wa Bunge aache Propaganda.

Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye.

Asipofanya hivyo nitajiongeza! John Mrema
 
Haji Manara ni wale wale kina Zembwela hana elimu
ISIJE KUWA YALE YA JERRY MURO NA MWENZIE MANARA....
MANARA ALISEMA KUNA JAMBO ANALO KUHUSU MURO AMBALO AKILISEMA NCHI NZIMA ITASIMAMA NA ATAVULIWA CHEO ALICHONACHO.
HADI LEO JERRY MURO KATULIA TULIIIIII

In God we Trust
 
Back
Top Bottom