Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Nimeambiwa kuwa Wasafi FM Leo asubuhi wamenichafua saana na kusema kuwa mke wangu ni Mbunge kwa sababu tu nilimtaka Spika wa Bunge aache Propaganda.
Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye.
Asipofanya hivyo nitajiongeza! John Mrema
Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye.
Asipofanya hivyo nitajiongeza! John Mrema