Mwenye orodha watu waliohukumiwa na Mahakama ya Mafisadi ya Awamu ya 5 aniwekee hapa. Naona kama ilikuwa kamba

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,779
Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi, wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja.

Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake naomba mnitakie mafisadi mliowatia mbaroni awamu yenu kwa sababu naona kama tulipogwa na kudanganywa kama Watoto wadogo.

Naongea haya kwa sababu aoka awamu ya 6 imeingia madarakani mafisadi ambao imewahukimu walikuwa ni wale waliiba pesa awamu ya 5 ila waliachwa na Jiwe na wapambe wake.

Mifano ya hai ni aliyekuwa DED WA Arusha Dr Pima, Sabaya mdogo Watumishi mbalimbali na sasa Kigogo wa Udart.

===

1703497278933.png

Washtakiwa hao walikuwa wanakabiliwa na mashtaka 15 yakiwamo kuisababishia UDART hasara ya Sh. milioni 750, kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji fedha haramu, kuwasilisha nyaraka za uongo na kughushi.

Katika shtaka la kuongoza genge la uhalifu, washtakiwa wanadaiwa katika nyakati tofauti kati ya Mei 25 na Julai 10, 2016 katika maeneo tofauti Dar es Salaam, waliongoza genge la uhalifu na kujipatia Sh. milioni 750 kutoka akaunti ya UDART, Benki ya NMB Tawi la Bank House.

Washtakiwa hao pia walikuwa wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kughushi, mawili ya kuwasilisha nyaraka za uongo na mashtaka tisa ya utakatishaji fedha haramu.

Nipashe

====

My Take
Hongera sana Rais Samia Kwa kuwashughulikia mafisadi waliolelewa na awamu ya 5 Kwa vitendo.

View: https://youtu.be/GZb4c7698iI?si=qTdJsJn_drqVU-Xj
 
Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi ,wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na Ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja.

Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake naomba mnitakie mafisadi mliowatia mbaroni awamu yenu Kwa sababu naona kama gulipogwa na kudanganywa kama Watoto wadogo.

Naongea haya Kwa sababu Toka awamu ya 6 imeingia madarakani mafisadi ambao imewahukimu walikuwa ni wale Waliiba pesa awamu ya 5 ila waliachwa na Jiwe na wapambe wake.

Mifano ya hao ni aliyekuwa DED WA Arusha Dr Pima

Sabaya mdogo

Watumishi mbalimbali na Sasa Kigogo wa Udart.

View: https://www.instagram.com/p/C1RSppIN9Dm/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==


My Take
Hongera sana Rais Samia Kwa kuwashughulikia mafisadi waliolelewa na awamu ya 5 Kwa vitendo.

Muuliza raisi samia alikuwa makamu wa raisi!
 
Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi, wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja.

Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake naomba mnitakie mafisadi mliowatia mbaroni awamu yenu kwa sababu naona kama tulipogwa na kudanganywa kama Watoto wadogo.

Naongea haya kwa sababu aoka awamu ya 6 imeingia madarakani mafisadi ambao imewahukimu walikuwa ni wale waliiba pesa awamu ya 5 ila waliachwa na Jiwe na wapambe wake.

Mifano ya hai ni aliyekuwa DED WA Arusha Dr Pima, Sabaya mdogo Watumishi mbalimbali na sasa Kigogo wa Udart.

===

Washtakiwa hao walikuwa wanakabiliwa na mashtaka 15 yakiwamo kuisababishia UDART hasara ya Sh. milioni 750, kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji fedha haramu, kuwasilisha nyaraka za uongo na kughushi.

Katika shtaka la kuongoza genge la uhalifu, washtakiwa wanadaiwa katika nyakati tofauti kati ya Mei 25 na Julai 10, 2016 katika maeneo tofauti Dar es Salaam, waliongoza genge la uhalifu na kujipatia Sh. milioni 750 kutoka akaunti ya UDART, Benki ya NMB Tawi la Bank House.

Washtakiwa hao pia walikuwa wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kughushi, mawili ya kuwasilisha nyaraka za uongo na mashtaka tisa ya utakatishaji fedha haramu.

Nipashe

====

My Take
Hongera sana Rais Samia Kwa kuwashughulikia mafisadi waliolelewa na awamu ya 5 Kwa vitendo.
Wewe endelea kusifu hilo bomu lako la kienyeji achana na chuma Magufuli
 
Sijui kama ile 2007 List of Shame-Mwembeyanga kama bado iko mtaani!
Na mmoja alisafishwa na CDM aka contest upresda!
 
Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi, wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja.

Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake naomba mnitakie mafisadi mliowatia mbaroni awamu yenu kwa sababu naona kama tulipogwa na kudanganywa kama Watoto wadogo.

Naongea haya kwa sababu aoka awamu ya 6 imeingia madarakani mafisadi ambao imewahukimu walikuwa ni wale waliiba pesa awamu ya 5 ila waliachwa na Jiwe na wapambe wake.

Mifano ya hai ni aliyekuwa DED WA Arusha Dr Pima, Sabaya mdogo Watumishi mbalimbali na sasa Kigogo wa Udart.

===

Washtakiwa hao walikuwa wanakabiliwa na mashtaka 15 yakiwamo kuisababishia UDART hasara ya Sh. milioni 750, kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji fedha haramu, kuwasilisha nyaraka za uongo na kughushi.

Katika shtaka la kuongoza genge la uhalifu, washtakiwa wanadaiwa katika nyakati tofauti kati ya Mei 25 na Julai 10, 2016 katika maeneo tofauti Dar es Salaam, waliongoza genge la uhalifu na kujipatia Sh. milioni 750 kutoka akaunti ya UDART, Benki ya NMB Tawi la Bank House.

Washtakiwa hao pia walikuwa wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kughushi, mawili ya kuwasilisha nyaraka za uongo na mashtaka tisa ya utakatishaji fedha haramu.

Nipashe

====

My Take
Hongera sana Rais Samia Kwa kuwashughulikia mafisadi waliolelewa na awamu ya 5 Kwa vitendo.
kikwete
Nape
Ridhiwani
Rugemarilla
kinana mwizi wa meno ya tembo
Harbinger Seth
Yusufu Manji
yote haya majizi yanazima umeme yauze majenereta yalihukumiwa na mahakama ya wananchi na yalifulia Sana ngoja tena yaje tuyaadhibu 2025 yarudi utumwani
 
Back
Top Bottom