Nguku Wakabange
Member
- Oct 27, 2021
- 61
- 112
Ndugu wanajamii forum habari za hapa wapambanaji wenzagu:
Nawaombeni msaada kama kuna wadau wana fahamu maeneo ya udongo wa mbuga nyeusi yenye kufaa kilimo cha dengu maeneo ya Kondoa maana kuna rafiki yangu kanidokeza kuna eneo linaitwa Kambi ya Moto lakini yeye pia haijui vizuri ni ameambiwa tu.
Naombeni mnipe majina ya maeneo yenye udogo wa mbuga nyeusi yenye kufaa Dengu kondoa pia mwelekeo(directions) ya hayo maeneo.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Nawaombeni msaada kama kuna wadau wana fahamu maeneo ya udongo wa mbuga nyeusi yenye kufaa kilimo cha dengu maeneo ya Kondoa maana kuna rafiki yangu kanidokeza kuna eneo linaitwa Kambi ya Moto lakini yeye pia haijui vizuri ni ameambiwa tu.
Naombeni mnipe majina ya maeneo yenye udogo wa mbuga nyeusi yenye kufaa Dengu kondoa pia mwelekeo(directions) ya hayo maeneo.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.