My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,489
- 11,441
Alie-ibiwa alifate SasaMpira umerudishwa kwa kipa, watu wengine hawaibiwi hivi hivi..lol
Anawap Wat shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Alie-ibiwa alifate SasaMpira umerudishwa kwa kipa, watu wengine hawaibiwi hivi hivi..lol
Asubuhi tu kuanzia saa 2. Ntaweka hapa taarifa zake angalau watu wamtafute na wajue shida nn.
Sent using iphone x
asante sana mkuu
nitafurahi sana kama mwenyewe akipatikana.
nitakuwa nimeacha historia katika kazi yangu ya ULINZI.
Dada Rebecca sio kwamba hio gari tumeshindwa kuifanyia umafia, No dada kuna watu bado wana utu na vitu vya watu.
You can not be bad all the time
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari yenyewe hio
samahanini kwa ubora wa picha
Simu ya Mlinzi ni mbovu kidogoView attachment 1456273
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mtu unaweza kuokota gari.
Mlinzi jau sana
Gari yenyewe hio
samahanini kwa ubora wa picha
Simu ya Mlinzi ni mbovu kidogoView attachment 1456273
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari yenyewe hio
samahanini kwa ubora wa picha
Simu ya Mlinzi ni mbovu kidogoView attachment 1456273
Sent using Jamii Forums mobile app
Washirikishe viongozi wa serikali ya mtaa Pamoja na wao ndio watatoa taarifa polisi.....
Hiyo gari ingekuwa mtaa wa huku ingeuzwa kidogokidogo...
Majibu ya hovyo umekunya akiliMawazo ya hovyo!
mkuu asante kwa hiliKesho inshaallah nitaweka hapa mmiliki halali na wapi anapatikana pamoja na no zake za simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho inshaallah nitaweka hapa mmiliki halali na wapi anapatikana pamoja na no zake za simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nishatuma inbox kwa mleta uzi.. niliweka hapa lkn sikuona kama ni ustaarabu.
ubarikiwe sana mkuu.Mkuu nishatuma inbox kwa mleta uzi.. niliweka hapa lkn sikuona kama ni ustaarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana..ubarikiwe sana mkuu.
ntarejesha taarifa za hii gari mda si mrefu nikiingia lindo.
nimefanikiwa kuongea na mwenye gari muda huu huu.
Hii kweli siyo ya yule tajiri wetu wa Kihaya wa JF anayetupigishaga stori zake... inawezekana alienda sokoni akaisahau maana alikuwa ampe omba omba mmoja zawadi mwenyewe alirudi home na ile Bentley yake...Habari zenu wakuu?
Bila shaka mko salama!
Kuna taarifa fupi tu ningependa kuwapatia.
Kuna gari imepaki sehemu fulani hapa Dar es salaam kwa takribani miezi minne sasa bila taarifa yoyote.
Mwenye gari hajulikani wala haijawahi kuja kuuliziwa.
Mpaka sasa tunashangaa hii gari alieipaki kapatwa na shida gani mpaka kashindwa kuirejea?
Au ina majanga gani hapa jijini?
Gari namba ni T 696 BUC, RANGI YA BLUE BAHARI. Gari ni ndogo tu ya watu 4-5.
Haina tatizo lolote kama kuondolewa vioo, tyre wala nini. INALINDWA MPAKA MWENYEWE AJE na atoe maelezo.
Kama una taarifa zake njoo PM
(picha sitaweka hapa kwa sababu maalum)