Mwenye CV ya Mbwiga

Mwenye CV ya Mbwiga

Mbwiga ni graduate wa mass communication toka somalia state university(sosu) amewahi kuwa msemaji wa col.mumamar ghadafi hadi alipopinduliwa. Akaja huku songea akawa afisa habari wa mamlamka ya maji safi(souwasa),then
akahamia wafu fm. Ameoa mchina.
Serously? sasa mbona anakuwaga wa hovyo sana?
 
Mbwiga ni Graduate wa UDSM alisomea bachelor of degree in masters Diploma.
Alishafanya kazi kama msemaje wa EWURA, TRA na BOT hadi alipoamia clouds fm!

Kuna jingine mnataka?
:brushteeth:
 
Mbwiga ni graduate wa mass communication toka somalia state university(sosu) amewahi kuwa msemaji wa col.mumamar ghadafi hadi alipopinduliwa. Akaja huku songea akawa afisa habari wa mamlamka ya maji safi(souwasa),then akahamia wafu fm. Ameoa mchina.

Alipewa PhD ya heshima toka UDOM!
 
Mbwiga ni Graduate wa UDSM alisomea bachelor of degree in masters Diploma.
Alishafanya kazi kama msemaje wa EWURA, TRA na BOT hadi alipoamia clouds fm!

Kuna jingine mnataka?
:brushteeth:

Kweli we tangopori!!!!!!!!
 
Alikuwa ana brush pale chiji ya jengo la kitega uchumi kipindi kile office za clouds fm zipo jengo la kitega uchumi....
 
Namkubali sana Mbwiga kwa amsha amsha zake na mbwembwe nyingi! Nyie mnaoangalia CV ya kila mtu endeleeni tu kuhangaika! Wewe unayehoji kwanza CV yako kwani ikoje?
 
Sie tulioishia darasa la saba, tunatukanwa sana na kudhalilishwa kama si lolote wala chochote katika Tanzania yetu, na wakati wengine mnapanda daladala, tax, bodaboda zinazomilikiwa na sisi darasa la saba na hata wengine mnaishi katika nyumba zetu tuliojenga sisi darasa la saba kwa umbumbumbu wetu huu huu. Somo KUFELI ELIMU SIYO KUFELI MAISHA.
 
Mkuu hata mie imenishangaza sana!sasa huo umjini mnaomsifia magazeti anashindwa kusoma anabaki anabweka eeh eeh!siusome basi!watu wa clouds pamoja sifa zote mnapewa hawa wa vijiweni nadhani kakomea lanne waacheni kwenye matamasha kipindi serious km pb kina matangazo mengi co vzr kuweka KIHIYO km huyo!ukimfuatilia sana hata maneno anayatamka ni yaleyale kila siku co creative!hatuwezi jua labda anakazi ya kumsifia kusaga akimya so ajira ya karibu utangazaji!
 
Zembwela na Bi Chau je? Mbona nao kila siku wanapiga makelele vituo vya Redio..tena zile makini? Shule yao mnaijua?

Mtaji wa Maskini ni maujuzi yake mwenyewe...

Duh, ila kama mmemsikiliza, na haelewi anachokifanya...hapo ni noumer...wampe mwongozo kidogo...lakini kwenye Michezo ya Clouds analipa... (Kipindi Pekee ninachokisikiliza Clouds)
 
FIESTA+MWANZA.jpg
 
Du hiyo kali! Kwa radio serious huwezi kumrushamtu on air kwa mtu siyo professional kama huyu, watu wako ktk foleni kwenda kazini wanakata kusikia news na michezo halafu mtu hata kusoma hajui, bora usingeweka hicho kipindi.

Leo ni siku ya Maulid..foleni ya kwenda kwenye kazi gani? by the way mbona amedondoa vizuri tu vichwa vya habari....ingawa alishindwa magazeti ya kiingereza. Nakushauri uwe unamsikiliza kwenye sport extra utampenda.
 
Back
Top Bottom