Mwenye CV ya Mbwiga

Mwenye CV ya Mbwiga

Habari wana JF, hii asubuhi Mbwiga ameshindwa ku peruzi magazeti Clouds fm, sidhani hata kama darasa la saba alimaliza, mwenye CV yake atujuze tafadhari.
Nawakilisha.

Sio kweli kuwa ameshindwa kusoma zile zilikuwa ni mbwembwe za kuchangamsha kipindi. Unaelewa kile kipindi kina mchanganyiko wa utani, seriousness na casual. Usilinganishe na TBC ambako watangazaji wake ni kama mapadri na masister au kama watu waliopigwa sindano ya ganzi mdomoni! Clouds wanaangalia uwezo na wanakuza vipaji sio mavyeti kibao wakati uwezo ni low.
 
Mbwiga ni graduate wa mass communication toka somalia state university(sosu) amewahi kuwa msemaji wa col.mumamar ghadafi hadi alipopinduliwa. Akaja huku songea akawa afisa habari wa mamlamka ya maji safi(souwasa),then akahamia wafu fm. Ameoa mchina.

hahahahahaha that's funny kwali.......
 
Sio kweli kuwa ameshindwa kusoma zile zilikuwa ni mbwembwe za kuchangamsha kipindi. Unaelewa kile kipindi kina mchanganyiko wa utani, seriousness na casual. Usilinganishe na TBC ambako watangazaji wake ni kama mapadri na masister au kama watu waliopigwa sindano ya ganzi mdomoni! Clouds wanaangalia uwezo na wanakuza vipaji sio mavyeti kibao wakati uwezo ni low.

Ndugu samahani, kwa mbwiga nako ni kukuza kipaji!?! Tobaaa. Aanzishe kipindi chake binafsi cha kushauri na kufundisha kwa style yake nadhani atafanikiwa la sivyo wabongo hawakawii kumchoka, kama wanavyoichoka bongo fleva. Nikujipanga tuu.
 
ni mdharamu wa mwanalumango, class seven, kada wa chama chakavu na mwanachama nguli wa yanga sport club, alikuwa mc wa vigodolo magomeni, kigogo na mwanayamala bas na sasa ni mtangazaji wa blouz fm.. Ndio cv yake hiyo.

Ongeza hapo...pia alikuwa dereva wa kuendesha gari ya kubeba abilia (TAX) pale kituo cha magomeni usalama...over
 
Habari wana JF, hii asubuhi Mbwiga ameshindwa ku peruzi magazeti Clouds fm, sidhani hata kama darasa la saba alimaliza, mwenye CV yake atujuze tafadhari.
Nawakilisha.


Acheni majungu, leteni CV ya bakresa/mmiliki wa makampuni ya azam. kufanikiwa siyo lazima uende shule wapo watu wanakipaji na wanafanya vizuri kuliko wewe mwenye CV kuuubwa. mbona maprofesa wengi wameshindwa? kuna elimu kubwa zaidi ya prof. E.G prof Magembe, mawaziri kibao prof. dr kawambwa na nk.
 
Tatizo watu mnakariri kuwa elimu ndio inaweza kukutoa peke yake mnasahau kipaji na bidii ni vitu ambavyo vinahitajika sana...
Wapo watu wamesoma sana humu lkn hawana cha maana wanachofanya hata kujiajiri hawawezi mwambie alete c.v imejaa page 4 lkn kichwani kweupe...ukiona mtu anaulizia c.v za watu ujue yeye hana kazi anataka kujua c.v za watu wenye kazi zikoje afananishe na yake...
 
Tatizo watu mnakariri kuwa elimu ndio inaweza kukutoa peke yake mnasahau kipaji na bidii ni vitu ambavyo vinahitajika sana...
Wapo watu wamesoma sana humu lkn hawana cha maana wanachofanya hata kujiajiri hawawezi mwambie alete c.v imejaa page 4 lkn kichwani kweupe...ukiona mtu anaulizia c.v za watu ujue yeye hana kazi anataka kujua c.v za watu wenye kazi zikoje afananishe na yake...

Asante maneno kuntu.
 
Mzee wa IPP mwenyew kidhungu hajui hata kuthoma vidhuri... Nimeshamtazama kwenye zaidi ya hafla 7...Baba Ridh1 nae kidhungu tatidho..Wazijua CV dha mdhee wa lambalamba fc???.Huwez pata Cheap labour mwenye cv nzuri atakusumbua tena sana na ndio maana kina b12,dj fetty,ray c, jay dee,adam mchomvu,Zamaradi waliajiliwa bila cv za nzuuri lakin baadae wengi waka graduate wakiwa kazini
 
Back
Top Bottom