Mwenye CV ya Mbwiga

Mwenye CV ya Mbwiga

Clouds kipaji kwanza vyeti baadae na ndo maana watangazaji wengi wamepata diploma na degree wakati wako mzigoni......
 
Mbwiga ni Graduate wa UDSM alisomea bachelor of degree in masters Diploma.
Alishafanya kazi kama msemaje wa EWURA, TRA na BOT hadi alipoamia clouds fm!

Kuna jingine mnataka?
:brushteeth:

Tuwekee picha yake
 
Kama ni hivyo kwa nini wewe/nduguyo/mwanao/ rafiki yako wanahangaika na kugharamia kupata taaluma mbalimbali? kuna haja gani ya kuwa na vyuo vya taaluma mbalimbali? Kwa kweli haya ni mawazo potofu ya hali ya juu sana niliyosikia toka mwaka huu uanze!!
you sound like you're having sort of a girlish envy over mbwiga.get a life.
 
mmesahau na Airtel wamemchagua kwenda macherster,Unamulaumu nan maisha umeyakosea mwenyewe?
 
HATARI PALEEEE MBiga wa mbwiguke ..wemberu wemberu sako la nyani ngedere hawakosi ,eee ndio mbwiga umeona wapi sanamu likaamkiwa...? BIG UP MBWIGA WANAO KUDIS WANAKUBALI KAZI YAKO...ET CV ..wewe cv ndio inatangaza ? hata kauweledi kakuzaliwa kanatosha VYETI vyenyewe mnafoji ...UKIONA TANGAZO LIMECHANWA UJUE LISHASOMWA...mbona kuna host kibao wafanya pumba kwenye tv/radio staions ,ACHEN HIZO BANDUGU KILA MBUZI ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE ....Wenye vimastars baadhi tunasota na wenye std 7mjiin na wengine std7 wametusua kuliko..... KUMDISCUSS MTU AMBAYE ANAREKEBISHA NJIA YA CHOONI ISIOTE NYASI NI UMBURURA NA SIO BURE UTAKUWA UMEVURUGWA .....MBWIGA UPO JUU ....
,

Huyu hapa Mbwiga orijino! Kumbe ni member mwenzetu, kweli elimu yake imejaa matobo hadi jina lake kuandika ni tatizo!
 
Huyu hapa Mbwiga orijino! Kumbe ni member mwenzetu, kweli elimu yake imejaa matobo hadi jina lake kuandika ni tatizo!

kazi unayo na kimasters chako uko wap pyeeeeeeeeeee......std 7 waleeeeeee acha ushamba dogo
 
Acha movie ya maajabu ya Tanzania iendelee.....
 
Clouds kipaji kwanza vyeti baadae na ndo maana watangazaji wengi wamepata diploma na degree wakati wako mzigoni......

hawajui hata millard ayo alikuwa na kicertficate tuu ndio maana alisugua bench IPP media ..ila CLOUDS shavu kama sait mirror ya yutong...tatizo humu watu wana mavyeti mzigo taaluma tabu tupu ...CLOUDS oyeeee..kupata majaliwa na sio ujanja
 
Nadhan wanampa ulaji zaid coz anaweza kuongea.
Cidhan hata kama ana CV

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
you sound like you're having sort of a girlish envy over mbwiga.get a life.

Kweli umedoda as per your ID. Envy? me? No!!! I have achieved, though not all, but most of my life goals. Hata hivyo hiyo hainifanyi kuacha kukemea tabia ya kuajiri watu ambao si professional (kwa kujuana? rushwa? etc) wakati wenye taaluma hizo wapo mitaani na wanasaga soli. Ni jambo la kusikitisha kwamba wakati tunazungumza kila siku matatizo ya media mbalimbali nchini (kumbuka chombo hiki kiliwahi kupigwa faini!!), bado kuna watu wa aina yako wanashadidia na kupuuza uwepo wa professionals kwenye vyombo hivi. Pia jenga tabia ya kujibu hoja kwa hoja kwani ndio kipimo cha utu wako, vinginevyo watu wanaokimbilia short cut ya matusi na kejeli wanathibitisha tu usemi wa wahenga kwamba hakuna umaskini mkubwa duniani kama umaskini wa akili.
 
sisi binadamu mkuu tupo kimakundi , kuna wanaompinga kwa sababu zao na wanao mkubali vile vile , mbona mr. bean ana tukuzwa uingereza kuna lipi anaelimisha jamii ,zaidi ya kucheka tu. the same to mbwiga habari anaiwekea manjonjo hata wasioenda shule wanapata picha ya kuelewa habari hizo kwa kufurahi na kwa kufuatilia kwangu hakuna mtu watu wanataka kumsikia kama mwiga na ndiyo maana wakamuweka katika kipindi cha power breakfast, mwanzo alikuwa hayupo

Pamoja na uchekeshaji-
Mr. Bean ana Master's degree ya umeme katika Fizikia.
Hivyo ni miongoni mwa wachekeshaji wenye elimu zao.
 
Mbwiga ni Graduate wa UDSM alisomea bachelor of degree in masters Diploma.
Alishafanya kazi kama msemaje wa EWURA, TRA na BOT hadi alipoamia clouds fm!

Kuna jingine mnataka?
:brushteeth:

Kweli wewe na Mbwiga ni mapacha!
 
Back
Top Bottom