ni mdharamu wa mwanalumango, class seven, kada wa chama chakavu na mwanachama nguli wa yanga sport club, alikuwa mc wa vigodolo magomeni, kigogo na mwanayamala bas na sasa ni mtangazaji wa blouz fm.. Ndio cv yake hiyo.
Mbwiga ni Graduate wa UDSM alisomea bachelor of degree in masters Diploma.
Alishafanya kazi kama msemaje wa EWURA, TRA na BOT hadi alipoamia clouds fm!
Kuna jingine mnataka?
:brushteeth:
Nyie angalieni CV wenzenu wanapeta. Aliekwambia bongo nchi ya kuangalia CV nani? Watu wanaangalia nani yupo wapi itumike nafasi hiyo kuchomekana kwisha habari.
Habari wana JF, hii asubuhi Mbwiga ameshindwa ku peruzi magazeti Clouds fm, sidhani hata kama darasa la saba alimaliza, mwenye CV yake atujuze tafadhari.
Nawakilisha.
Aliuza nyumba jangwani akazimalizia makutano(kwa Ima)ashukuru clouds fm ingekula kwake
Mbwiga ni Graduate wa UDSM alisomea bachelor of degree in masters Diploma.
Alishafanya kazi kama msemaje wa EWURA, TRA na BOT hadi alipoamia clouds fm!
Kuna jingine mnataka?
:brushteeth:
Mbwiga kasoma hadi form 4 iliyokuwa Forodhani secondary school 1989-1992,tulisoma nae shule 1 sema mie nilimtangulia vidato viwili
Mbwiga, Mbwiga, Mbwiga unatisha kama radi, elimu yako haijulikani lakini unafanya kazi ktk redio ya mjini. Humu JF, kuna mijitu ina masters inamlilia Kikwete aipe ajira. Na nadhani wengine wanakuomba nauli.
Clouds FM kazeni buti. Naunga mkono falsafa yenu ya kutaka matokeo sio vyeti. Mbwiga wa wa waa
Mbwiga ni graduate wa mass communication toka somalia state university(sosu) amewahi kuwa msemaji wa col.mumamar ghadafi hadi alipopinduliwa. Akaja huku songea akawa afisa habari wa mamlamka ya maji safi(souwasa),then akahamia wafu fm. Ameoa mchina.
Mbwiga ni Graduate wa UDSM alisomea bachelor of degree in masters Diploma.
Alishafanya kazi kama msemaje wa EWURA, TRA na BOT hadi alipoamia clouds fm!
Kuna jingine mnataka?
:brushteeth:
Alipewa PhD ya heshima toka UDOM!
Alikuwa ana brush pale chiji ya jengo la kitega uchumi kipindi kile office za clouds fm zipo jengo la kitega uchumi....
Mdomo wake ajira tosha c.v mbwembwe tu!....dah!bongo noma hadi mbwiga analetewa zengwe duh!
Namkubali sana Mbwiga kwa amsha amsha zake na mbwembwe nyingi! Nyie mnaoangalia CV ya kila mtu endeleeni tu kuhangaika! Wewe unayehoji kwanza CV yako kwani ikoje?
Leo ni siku ya Maulid..foleni ya kwenda kwenye kazi gani? by the way mbona amedondoa vizuri tu vichwa vya habari....ingawa alishindwa magazeti ya kiingereza. Nakushauri uwe unamsikiliza kwenye sport extra utampenda.
mtu anaitwa mbwiga kuna haja ya kujua cv yake cv yake ni mbwiga
Habari wana JF, hii asubuhi Mbwiga ameshindwa ku peruzi magazeti Clouds fm, sidhani hata kama darasa la saba alimaliza, mwenye CV yake atujuze tafadhari.
Nawakilisha.