DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 495
- 900
Wakuu, nahitaji dada wa kazi za ndani kwa Dodoma, familia ni ndogo ya mama na watoto wawili miaka 6 na mwingine miezi 5. Kazi kubwa ni kumwangalia mtoto mdogo wakati mama akiwa kazini.
Shughuli zingine ni ndogo ndogo ambazo watasaidiana na mama.
Uwezo wa malipo ni Tsh laki 1 kwa mwezi pamoja na huduma nyingine za kibinadamu. NB: Mwezi wa kumi wanahamia Dar.
Karibu PM kwa alie na koneksheni.
Shughuli zingine ni ndogo ndogo ambazo watasaidiana na mama.
Uwezo wa malipo ni Tsh laki 1 kwa mwezi pamoja na huduma nyingine za kibinadamu. NB: Mwezi wa kumi wanahamia Dar.
Karibu PM kwa alie na koneksheni.