Mwendokasi kutotumia njia ya Jangwani na Mkwajuni sababu ya Mafuriko

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,282
IMG_20240426_090028_192.jpg
 
Kibiashara hizo gari kwa sasa wazipeleke njia ya MBAGALA.
1. Barabara imekamilika (kwa macho ya kawaida)
2. Abiria ni wengi (wateja)
3. Ni matumizi mazuri ya resources (magari yao)
4. Watapata faida
Mwambie Nape amwambie
 
Back
Top Bottom