Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Ninawaamkua wote.
Hali hii inajiri Kimara, Kivukoni hata Gerezani.
Inapofikia peak hour magari ya mwendokasi yanakuwa bize kurudi depo Jangwani huku ikiwaacha abiria na sintofahamu ya kupata uhakika wa usafiri.
Pale Kimara unakuta gari nyingi zimepaki kama.mbovu na hakuna linaloendelea na vivyo hivyo kivukoni na gerezani.
Hizi hujuma dhidi ya kodi zetu zitafutiwe ufumbuzi kabla hatujawatumbua 2025
Hali hii inajiri Kimara, Kivukoni hata Gerezani.
Inapofikia peak hour magari ya mwendokasi yanakuwa bize kurudi depo Jangwani huku ikiwaacha abiria na sintofahamu ya kupata uhakika wa usafiri.
Pale Kimara unakuta gari nyingi zimepaki kama.mbovu na hakuna linaloendelea na vivyo hivyo kivukoni na gerezani.
Hizi hujuma dhidi ya kodi zetu zitafutiwe ufumbuzi kabla hatujawatumbua 2025