..hivi unajua tuko wapi sasa hivi mimi na Preta...halafu kwanini wewe na TANMO mnaniingilia sana..wakati totoz kibao tu mtaa huu
Heheheheheeeee KakaKiiza nimecheka sana hapo kwenye Bold Lol
Hahahaaaaa hapo naona umemtoa Preta lol
...na wangejua kuwa nishamaliza na mzee ole nai.....ili nimbebe my bebii@Preta..wangekaa kimya...
nikipewa show mimi siwezi kuiendesha ki chit chat. Itakua ni live broadcast kwenye skypegroup au tunatafuta namna nyingine ya kuwakutanisha live. Tenda ya kuuza popcorn na vinywaji atapewa Bishanga, na kama kuna mpango wa kitihot basi Preta atatununulia kwa askofu. Ikiwa nitapewa kuendesha show, nadhani nitawaalika
- Zomba na Matola kwa review ya miaka 7 ya utawala wa Kikwete na what to expect in 2015 (refa:EMT)
- AshaDii na Gaijin kwa mazungumzo kuhusu mila na tamaduni za Africa (Refa bht)
- Mekatilili na Askari Kanzu kuhusu viwango mbali mbali vya maendeleao katika nchi za EAC (Refa Satta)
- Dr Riwa na Mzizi Mkavu kuhusu tiba za asili vs tiba za kisasa (Refa King'asti)
- Kiranga na William Malecela kuhusu nafasi ya vijana katika siana na uendeshaji wa nchi (refa: FJM)
- Naweza pia kuwaalika Kiranga na H1N1 kujadili suala la kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu (Refa NN)
- Bishanga na Nyani Ngabu kuhusu... well, kuhusu Bishanga na NN. They are a show by themselves (refa Lizzy)
- Nikimwalika Invisible nitamwalika alone coz mimi na yeye tunatofautiana sana kimawazo. (Refa: X-PASTER)
- Another good combination ni Excellent na T Bag Hatari washindishane ku-crack jokes (refa: Jaguar)
- Mwisho kabisa naweza kuwajadilisha Zinduna mwenyewe na Kimbweka kuhusu picha gani zinafaa na zipi hazifai kuwekwa lile jukwaa la watu wazima (refa: Boflo)
52 hapo mbona unan'changanya ? Kwanza mi sijajua kama Nity amejitwisha Canta?Hahahaaaaaa tangu Cantalisia awekwe kinyumba na nitonye Rejao kaamua kukimbia jukwaaa lol
Wangepeana hadi viwake moto lol
Dah hope jumamosi ntakuwa uwanjani na wewe wakati show inaendelea hewani
Duh ntapata mauzoefu ya kutosha toka kwa Erotica
Hahahaaaaaaaaa..........
Unataka kuchomwa kisu weye.
Inabidi nianze kutafuta number ya Ultimate security ili walete ambulance mapema maana sina hakika sana hali ya afya ya Willim Malecela anahema sana huyu kijana