KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
mie sijui huwa wanawaza nini kichwani kujidhalilisha tu
Hello..! Upo penda sana wewe cjui why jamani...
mie sijui huwa wanawaza nini kichwani kujidhalilisha tu
Kachamba watu eti anaonewa wivu hajali chochote yeye kaingiza hela. Nikajiuliza hyo photo shoot gani kapauka ka kambale kwenye matope. Itakua kaiga hafu akajipiga na mchina simu huyu.
Hello..! Upo penda sana wewe cjui why jamani...
ha ha ha asante sana mie pia penda weye karibu
Mkuu Husikurupuke Ka Ushuzi Wa Gesi Ya Minyoo.Hii Taarifa Tayari Himo Humu.
Check Thread Yenye Title Mweee!. Page1/Page2.Labda Umeleta Ili Ziunganishwe.
Ndiyo hivyo! Wapi nitaona wewe sasa?
haha ha hapa hapa jf nipo mimi jaa tele ona mimi kila saa
.................... .