Mweee!

Mweee!

Hawachelewi watu kuja kuutetea huu UHAYAWANI utasikia maisha yake hayo.Mtalalamika sana performance zetu lakini hata pilau mpishi hushiba harufu yake kabla ya chakula.Ladha inapungua zamani kuona paja labda ukaangalie netball siku hizi hata safari hufungi ikiikaa barzani kwako wanapita.
 
Sijui anawafundisha nini hao watoto mpuuzi huyo.

Kachamba watu eti anaonewa wivu hajali chochote yeye kaingiza hela. Nikajiuliza hyo photo shoot gani kapauka ka kambale kwenye matope. Itakua kaiga hafu akajipiga na mchina simu huyu.
 
Kachamba watu eti anaonewa wivu hajali chochote yeye kaingiza hela. Nikajiuliza hyo photo shoot gani kapauka ka kambale kwenye matope. Itakua kaiga hafu akajipiga na mchina simu huyu.

Hahahahaa halafu Ant kawa mbaya jamani! Hizo makeup anazopaka uso unang'aa lakini shingo nyeusi kama pua ya mbwa sijui haoni hilo?
 
Hahahahaa halafu Ant kawa mbaya jamani! Hizo makeup anazopaka uso unang'aa lakini shingo nyeusi kama pua ya mbwa sijui haoni hilo?

Hahaaa anajisahau na kujipiga kitaulo usoni tu na kusahau shingoni na kwingine. Hafu hajui kujipaka make up kanibore ila ndo zake ukiangalia vinguo walivokua wanavaa na Wema kwenye show Mpaka wakaombaga msamaha.
 
Hahaaa anajisahau na kujipiga kitaulo usoni tu na kusahau shingoni na kwingine. Hafu hajui kujipaka make up kanibore ila ndo zake ukiangalia vinguo walivokua wanavaa na Wema kwenye show Mpaka wakaombaga msamaha.

Sasa nashangaa mbona lile tangazo la angels pads katoka fresh? Japo kitaulo alikua anapiga maana hadi kwenye miguu kulikua na sugu ila ilikua afadhali...
Labda ni mambo ya mimba tu.
 
Katika maisha kuna mambo ambayo mtu hajayategemea...kupata mimba wakat ushachezea kizazi sana ni jambo la ajabu kwa hiyo siyo kumshangaa...mwenzenu haamini

Hili nalo neno... Hivi hawa watoto ni wa mzazi gani anakubali wakafanye huo ujinga!..
 
ulimbukeni bwana sitashangaa akirecord video anavojifungua akionesha mtoto anavyopita kwenye "K" yake na kuitupia mtandaoni
 
Sasa nashangaa mbona lile tangazo la angels pads katoka fresh? Japo kitaulo alikua anapiga maana hadi kwenye miguu kulikua na sugu ila ilikua afadhali...
Labda ni mambo ya mimba tu.

Hahaaaa lile tangazo sili li editiwa kidogo. Ila ka ni mimba imemfanya awe na rangi mbili ka amoxilin basi mimba yake ni kiboko.
 
Hivi sikuhiz kuonesha mitumbo yao ya mimba imekua ni fashion " hawajua watu wengne wanamacho mabaya atatoka mjusi siku wakome
 
Hawachelewi watu kuja kuutetea huu UHAYAWANI utasikia maisha yake hayo.Mtalalamika sana performance zetu lakini hata pilau mpishi hushiba harufu yake kabla ya chakula.Ladha inapungua zamani kuona paja labda ukaangalie netball siku hizi hata safari hufungi ikiikaa barzani kwako wanapita.

Kwanini asilaumiwe aliyeweka hii umu. Kwani hii picha imewekwa humu na aunt ezekiel mwenyewe?
 
Kwanini asilaumiwe aliyeweka hii umu. Kwani hii picha imewekwa humu na aunt ezekiel mwenyewe?

Nimeipata mtandaoni mkuu....na hapa ni moja ya mtandao wa kijamii,wa kumlaumu ni yule aliye aliyepiga na aliyepigwa picha na kutokana na tabia ya wanabongomuvi inaonekana muhusika ndiye aliyepost mtandaoni
 
Hahaaa anajisahau na kujipiga kitaulo usoni tu na kusahau shingoni na kwingine. Hafu hajui kujipaka make up kanibore ila ndo zake ukiangalia vinguo walivokua wanavaa na Wema kwenye show Mpaka wakaombaga msamaha.

Hahahahaa halafu Ant kawa mbaya jamani! Hizo makeup anazopaka uso unang'aa lakini shingo nyeusi kama pua ya mbwa sijui haoni hilo?

Haya jiko limempata mpishi hapa bado walaji diznare na rosemarie, mmasai dada na miss chaga popote walipo mnaitwa humu.
 
Back
Top Bottom