Mweee!

Mweee!

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
.................... .
 

Attachments

  • 1431784461124.jpg
    1431784461124.jpg
    34.9 KB · Views: 4,076
  • 1431784475078.jpg
    1431784475078.jpg
    30.5 KB · Views: 3,480
Huyu naye!Mimba zingine zina vituko! we acha tu.
 
Samahani mods,peleka hiii kitu ya dada yangu jukwaa la picha
 
nilikuwa siamini kama huyu demu ana papuchi hadi nilipoona ameshika mimba, wengi walikuwa wanasema ni shemale kutokana na jina lake. ni mojawapo ya watu takataka niliowadharau, akiwa na mwenzie aliyepigwa chini na domo.
 
Hakuna mastaa wanaoniboa kama wa kitanzaia....yaani kila mwenye smartphone siku hizi anajiita staa. Atajipiga picha za makalio ama kulalamika kwanini aliwi uroda makalioni na kujibandika fesibuku kisha watu wamtaje tu na kumjadili mjini ili apate mtu wa kumtunza na kumuweka mjini. Shidaaaaaa.
 
Kuiga maisha ya nje antie kawa chizi sasa dah. Hawa Bongo movie akili zao za kushikiwa.
 
Ujinga mtupu,wengine sijui wnapata wapi ujasiri wa kufanya hivyo.
 
Tatizo hii mitandao watu wameingia vibaya. Hata hawajiulizi walioyengeneza wao hawafanyi hayo na hizo mbwembwe ila wao watumiaji ni hatari, hata hawajui ubaya wa kile anachoweka hapo
 
Katika maisha kuna mambo ambayo mtu hajayategemea...kupata mimba wakat ushachezea kizazi sana ni jambo la ajabu kwa hiyo siyo kumshangaa...mwenzenu haamini
 
Back
Top Bottom