Hili ni bomba la maji lililosahaulika kutoka enzi za Zakhiem wakati wa ujenzi wa barabara. Liko maeneo ya Mkolani Nida.
Limekuwa kero maana maji yanatiririka muda wote na kutuama kama bwawa.Inasemekana mamlaka inataarifa na hili lakini haijachukua hatua ya kulifunga bomba hilo labda kwa sababu halileti hasara kwao ingawa ni kero Kwa maeneo hayo kwani linasababisha ardhi inakuwa chepechepe muda wote maeneo hayo.
Limekuwa kero maana maji yanatiririka muda wote na kutuama kama bwawa.Inasemekana mamlaka inataarifa na hili lakini haijachukua hatua ya kulifunga bomba hilo labda kwa sababu halileti hasara kwao ingawa ni kero Kwa maeneo hayo kwani linasababisha ardhi inakuwa chepechepe muda wote maeneo hayo.