Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Palitokea hitilafu katika mfumo wa usambazaji maji kwa muda mfupi mwishoni mwa wiki iliyopita lakini ilirekebishwa na huduma inaendelea kwa sasa.
Ilivyokuwa taarifa ya awali kuhusu Stendi hiyo ~ Vyoo vya Umma katika Stendi ya Nyegezi Mwanza havina maji zaidi ya mwezi
Mamlaka imefanya Mawasiliano na Uongozi wa Stendi ili kuboresha mawasiliano yanayolenga kupeana taarifa kwa haraka mara Hitilafu zinapojitokeza ili kuboresha huduma.
Vivien Temu
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
MWAUWASA