Benjonathantz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 237
- 52
- Thread starter
- #41
Dooooh....hapo kuna kazi. PK??! Hawa waarabu noma
Hahahaaa noumaaa
Dooooh....hapo kuna kazi. PK??! Hawa waarabu noma
Tanga si kawaida yenu kuonana, kuongea na kupeana vitu na viumbe mnaowaita malaika wazuri?
Hahahah yani wangekupa show tym ya uhakika bila hata yale mafuta ya ky!mhh
Siendi tenaaa!! Mie ni Bora ni lale nyumbani
Ni jini hilo,akajibadilisha akaja kwa sura nyingine tena duuuh!labda limekuchunuku umuoe dada ake ujinini!
Ungefanywa kitu mbaya