Mwarabu kanipa pk...

Mwarabu kanipa pk...

Ahhahahahah lol na wewe ulienzisha uzi je...usjitoe bureee wewe ndo umelianzisha nkiamua kurusha mawe hapa naanza na wewe lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Hahahaaa poa bhana ndo hvyo Duniani kusameheana tyuuu au co??
 
Halafu kama unaenda saruji kulia kwenye mtelemko kuna bwawa la maji machafu!

Mm hata cjaliona hilo bwawa la maji machafu... huh!! Maana network ya kichwa iliwaza kuondoka tyu...
 
Tanga si kawaida yenu kuonana, kuongea na kupeana vitu na viumbe mnaowaita malaika wazuri?

Mtu aliyeoshwa kwa damu ya Yesu, malaika wazuri hawawezi msogelea. Ninyi endeleeni kuwa na mahusiano nao
 
Back
Top Bottom