Ni kweli miaka hiyo ya 1970s tukiwa sekondari tunaenda MawenziNilisikia wakongwe wakisema kuwa radio sauti ya injili ndiyo radio kongwe zaidi ya bonafsi tanzania
Ni kweli miaka hiyo ya 1970s tukiwa sekondari tunaenda MawenziNilisikia wakongwe wakisema kuwa radio sauti ya injili ndiyo radio kongwe zaidi ya bonafsi tanzania
Labda alirefer kwa Kakobe na GwajimaKuanzia lini kanisa Ni Mali binafsi?
Mali binafsi inamilikiwa na sole proprietor.
Kanisa sio sole proprietor, Ni taasisi inaayoongozwa na bodi ya wadhamini.
R.I.P Paroko.ni nini tatizo lililopelekea kifo chake?Mwanzilishi wa Radio ya kwanza binafsi nchini Tanzania (Radio Tumaini), Padre Francois Gautier amefariki dunia.
Aliwahi kuwa paroko wa parokia ya Manzese.
Will miss you father R.I.P
Amefariki lini? Wapi? Weka Nyama kidogo......Mwanzilishi wa Radio ya kwanza binafsi nchini Tanzania (Radio Tumaini), Padre Francois Gautier amefariki dunia.
Aliwahi kuwa paroko wa parokia ya Manzese.
Will miss you father R.I.P
Mkuu,Means Sio redio ya serikali.RAdio tumaini ni ya Wakatoliki so ni PrivateRedio Tumaini sio redio binafsi, Ni redio ya kanisa.
Kuanzia lini kanisa Ni Mali binafsi?
Mali binafsi inamilikiwa na sole proprietor.
Kanisa sio sole proprietor, Ni taasisi inaayoongozwa na bodi ya wadhamini.
Lingine la kumsaidia mleta habari, radio ya kwanza isiyomilikiwa na serikali kuanzishwa ni Radio Sauti ya Injili Moshi. Nilianza kuisikia miaka ya 1980s nilipoanza kuwa na akiliRedio Tumaini sio redio binafsi, Ni redio ya kanisa.
Kuanzia lini kanisa Ni Mali binafsi?
Mali binafsi inamilikiwa na sole proprietor.
Kanisa sio sole proprietor, Ni taasisi inaayoongozwa na bodi ya wadhamini.
Kuna siku alikuwa anasema pasaka ni sikukuu ya wasela kufurahia kuzaliwa kwa msela mwenzao, msela aliyezaliwa katika zizi la ng'ombe
Pasaka? Au Xmas?
Basi tufanye kanisa ni mali ya umma, mambo yasiwe mengiKuanzia lini kanisa Ni Mali binafsi?
Kwamba dingi hakuwai kupiga ile kitu imekaa kama kichwa ya mbuzi...Ameondoka hana Mke wala mtoto tena kwa makusudi kabisa.
Pumzika kwa Amani.
Mwanzilishi wa Radio ya kwanza binafsi nchini Tanzania (Radio Tumaini), Padre Francois Gautier amefariki dunia.
Aliwahi kuwa paroko wa parokia ya Manzese.
Will miss you father R.I.P
Kanisa sio Mali ya umma, ni TAASISI ya kidini ndio maana hata taratibu za kuanzisha kanisa ziko tofauti na taratibu za kuanzisha shirika la ummaBasi tufanye kanisa ni mali ya umma, mambo yasiwe mengi
Tell demRedio Tumaini sio redio binafsi, Ni redio ya kanisa.
Kuanzia lini kanisa Ni Mali binafsi?
Mali binafsi inamilikiwa na sole proprietor.
Kanisa sio sole proprietor, Ni taasisi inaayoongozwa na bodi ya wadhamini.
Hakupaswa kabisa kupiga. Yaani kupiga kwake ilikuwa ni uhalifu na angefanya angehukumiwa na mamlaka. Sio uamuzi mdogo huuKwamba dingi hakuwai kupiga ile kitu imekaa kama kichwa ya mbuzi...
Kuanzia lini kanisa Ni Mali binafsi?
Kanisa sio Mali ya umma
Oh NO! RIP Pd Francois! Too early to die!Mwanzilishi wa Radio ya kwanza binafsi nchini Tanzania (Radio Tumaini), Padre Francois Gautier amefariki dunia.
Aliwahi kuwa paroko wa parokia ya Manzese.
Will miss you father R.I.P
Pole mno kwa Kanisa na Wakatoliki pia.