smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,538
- 11,868
alikuwa anajua sana kuzungumza kiswahili. rip padre francoisMwanzilishi wa Radio ya kwanza binafsi nchini Tanzania (Radio Tumaini), Padre Francois Gautier amefariki dunia.
Aliwahi kuwa paroko wa parokia ya Manzese.
Will miss you father R.I.P