Mwanza: The Cask yawaka moto

Mwanza: The Cask yawaka moto

Mtatuelewa wamachinga tu, na sisi watu na tunaweza tukiamua.
Kwani the cask inahusiana nini na kuondolewa wanachinga?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

Daaah kiwanja kitamu hiki

Huu ndo ushenzi w serikali hii ya chama cha kijani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Binafsi nimesikitika kiwanja changu pendwa hiki. Bia ya hapa hua tamu
Ngoja nifikirie wa kumpa lawama nitarudi.

Lawama watabebeshwa wale machinga

Huyo mmiliki wa hiyo place atakuwa amechoma hiyo place ili alipwe na bima .
Namjua Sana huyo mjuba since kitambo na rasta zake akiwa anaendesha club pale mwanza hotel.
Ni muhuni aliyepitiliza
 
Jeshi la Zimamoto limekuwa mzigo mkubwa kwa Taifa nashauri Kamishana wa Zimamoto atoke/ateuliwe kutoka JWTZ.
 
Huyo mmiliki wa hiyo place atakuwa amechoma hiyo place ili alipwe na bima .
Namjua Sana huyo mjuba since kitambo na rasta zake akiwa anaendesha club pale mwanza hotel.
Ni muhuni aliyepitiliza
Umeandika upuuzi. Nawe choma nyumba ili ulipwe uone kama ni rahisi
 
Back
Top Bottom