Mwanza: Soko la Mlango mmoja lateketea kwa moto

Mwanza: Soko la Mlango mmoja lateketea kwa moto

Ha ha Ukishafahamu hivyo itasaidia nini mkuu? Tuwape pole kuhusiana na janga hili la moto!
Sasa kwani lazima tutoe pole wote mkuu? Wewe unatosha.. Mkuu Atajenga soko kubwa LA kimataifa hapo..ni home hapo...
 
Ila nimeshangaa yaani jeshi letu la Zimamoto wanaishiwa maji wanarudia tena mengine moto unakolea. Ingependeza wangekuwa angalau magari mawili kiasi kwamba moja likishiwa maji lingine liendelee kuzima
Hatari sana uzuri yanapotokea majanga kama haya tunapata kujua mapungufu makubwa tulio nayo katika suala zima la uokozi
 
Kuna duka lipo hapo nilipenda viatu nilikuwa najipanga nikafanye shopping kumbe ndo panaungua.
Pole zao walioadhirika
 
Poleni watu wa mlango mmoja.Nimekumbuka mbali enzi hizo niko nimenunua Sana nguo humo.
 
Duuuh na walivyobanana mle ndani sidhani kama kuna banda litabaki
 
Back
Top Bottom