Mwanza ni kiini cha mabadiliko ya kiutawala Tanzania!!

Akili yako siwez kuifanya ielewe chenye nimesema.ukimsema Mabula hukumbuki chama alichokua anapambana nacho kimejaa ukanda ndo sababu kubwa na si ubaguzi wa msukuma,
?yamkini umekutana na udhaifu wa mtu mmoja mmoja uliyo kwa watu.uliza vzr wasukuma wakoje toka enzi na enzi.ukiwa hupendi au unajisikia vibaya basi we pita hivi
Mkuu kwamba chadema imejaa ukanda hiyo ni nadharia kwasababu wanachama wengi ni upande ule ni sawa useme cuf ni Chama cha waislamu ilihali kuna wakrsto je ulishasikia hata sikumoja chadema wakisema jamani watu wa kilimanjaro hiki ni chama chenu msipigie vyama vingine au kwenye chadema hakina wafuasi mikoa mingine watajisikiaje wakisikia kauli kama hiyo au cuf iseme waislamu cuf ndo mkombozi wenu wale wakristo waliopo cuf watajisikiaje ?
 
kanda ya ziwa oye !
majiji ya mbeya, arusha na dar yanawawashawasha..
wanayachukia hata kuishi wanataka kuhama..
wivu !
 
Usukumani, ukabila uliopo ni katika kuongea Kisukuma lakini siyo ukabila wa kuwatenga watu, kuwaonea au kuwabagua.

Hata usipokuwa msukuma, ukifika vijijini kabisa, kama unakijua kisukuma, utaongea na kila mtu kama vile mlifahamiana toka utotoni. Utakaribishwa kila mahali, siyo kwa unafiki bali kutoka moyoni kabisa. Hata kama hujui kisukuma, ukiwapata wale wanaojua kiswahili, hata kama siyo kwa ufasaha, utadhihirisha ukarimu wao.

Mnachotakiwa kujua, Mwalimu kuna wakati alisema, viongozi madikteta hutafuta kwa nguvu kushikamana na makundi fulani iIi wale watu wahisi anawapenda, na wamtetee kunapokuwa na kelele dhidi yake. Atajishikamanisha na kabila fulani (mara nyingi kabila lenye watu wengi), Atajishikamanisha na dini fulani (mara nyingi dini yenye waaumini wengi), anaweza kujishikamanisha na kanda fulani (mara nyingi kanda yenye watu wengi).

Huu ni mtihani kwa wasukuma, ni mtihani kwa wakatoliki na ni mtihani kwa kanda ya ziwa.

Na ni mtihani kwelikweli huyu jamaa anapanda mbegu ambayo inakuja kuota ubaguzi chuki na ukabila kuwahi kutokea Tanzania cheki sasa ashawapa wapinzani wake kauli za kuongea 2020 na makabila makubwa yaliyo baki ashawapandikiza chuki
 
Mkulu kapeleka nguvu zote nyumbani huenda kimara tulikosa wasukuma tusingevunjiwa anabomoa nymba za watukusudi za nymbani kwao hataki zibomolewe anajua adha ya kubomolewa
Huyo wa Chato bwana, Mwanza yetu watuachie inaweza kujiendesha yenyewe...miaka yote chini ya 2006 ilisahaulika lakini ilikuwa inasonga mbele kwa watu kufanya kazi kwa bidii na kuleta mabadiliko ya kiuchumi...naona sasa hivi kuanzia 2015 wanataka kuufanya mkoa wa kisiasa kama Dodoma
 
Kama kweli mwanza ni wakabila, ilikuaje 2010 ilemela na nyamagana wakachagua wabunge toka CDM na hawakua wasukuma.
Hebu nitajie mtu hata mmjoa aliewahi kuwa mbunge jimbo lolote huko KLM na hakuwa mange au mpare.

Samaki 1 akioza mwaka 2020 mnamtoa na kumtupa waliobaki mnawapika ya nn kuwatupa wakati hawajaoza
 
Wanasiasa wanaangalia nguvu ya wapiga kura iko wapi? Jiulize Mwanza walipoamua kwenda upinzani 2010 kanda ya ziwa kilitokea nini? Karibu mikoa yote ya kanda ya ziwa walifanya mabadiliko, Mwanza walipofuta upinzani 2015 mikoa mingine ya kanda ya ziwa kilitokea nn? kwa ufupi kanda ya ziwa ina nguvu sana ya kuamua nani awe rais wa JMT , politicians knows that na wanatumia mbinu zote kupata kuungwa mkono.
Kwa hizi kauli .wanaosema kuna siasa za upendeleo za ukanda awamu hii .watakuwa wamekosea kweli !!?? Etii ataa Mamlaka ya bandari juzi kati imegundua kati ya bandari 27 nchini bandari 23 zipo kanda ya ziwa .hivyo Tpa wameamua kufadhili miradi ya usambazaji maji kanda yote ya ziwa.kisa kwenye awamu hii imegundulika ndio eneo lenye bandari nyingi .hivyo Tpa inawajibika kutoa fadhila kwa wanajamii wa eneo husika la kanda ya ziwa kutokana na kuwa ndio kwenye bandari nyingi ,ukijumlisha hizi hatua zinazo chukuliwa na hizi kauli jibu ni juu yako tafakari chukua hatua .kabla maraa paapu atujakuwa kama Kenya na Rwanda zinako jaribu kutoka .ikatimia ile methali ya kutangulia sio kufika
 
Kwa hizi kauli .wanaosema kuna siasa za upendeleo za ukanda awamu hii .watakuwa wamekosea kweli !!?? Etii ataa Mamlaka ya bandari juzi kati imegundua kati ya bandari 27 nchini bandari 23 zipo kanda ya ziwa .hivyo Tpa wameamua kufadhili miradi ya usambazaji maji kanda yote ya ziwa.kisa kwenye awamu hii imegundulika ndio eneo lenye bandari nyingi .hivyo Tpa inawajibika kutoa fadhila kwa wanajamii wa eneo husika la kanda ya ziwa kutokana na kuwa ndio kwenye bandari nyingi ,ukijumlisha hizi hatua zinazo chukuliwa na hizi kauli jibu ni juu yako tafakari chukua hatua .kabla maraa paapu atujakuwa kama Kenya na Rwanda zinako jaribu kutoka .ikatimia ile methali ya kutangulia sio kufika


Kuna upepo mbaya unakatiza ulimwenguni.
Watu wamezidi ubinafsi ndio maana ukabila na kujitenga vinashamiri
Brexit
Catalonia
Scotland
Zanzibar hadi kesho wanalialia uhuru toka Tanganyika

Kifuatacho Tanzania
Kanda ya ziwa watataka kuwa nchi
Kaskazini pia
Kusini nao

mara paaap boooom
 
Watu wanatamani sana wasukuma wawe wakabila ili wajusty upuuzi wao.


Bahati mbaya Usukumani hakuna ishu hizo, Kama unaongea jambo bila kuwa na uhakika Bora ukae kimya, ukitaka kuwajua Wasukuma vizuri tembelea mikoa yao nenda hadi vijijini halafu tembelea uchagani na uhayani kisha linganisha.
 
Kama wasukuma wangekuwa wana ukabila usingeona makabila mengine yakishamili kibiashara katika maeneo ya wasukuma.

Leo hii ukienda kwenye mikoa yenye wasukuma wengi utakuta wafanyabiashara wa kichaga wamejaa na biashara zao zinapata mafanikio makubwa kwa sababu wanunuzi ni wasukuma.

Wakina dada wengi wa makabila mengine wameolewa na wasukuma.

Kwa ujumla, wewe unaodhani wasukuma wana ukabila inawezekana ukawa ni mkabila namba moja.

Huwezi kujua kama fulanio ni chawi kama huna elimu ya kichawi!

Acheni kuwalazimisha wasukuma wawe wakabila na siku wakiwa wakabila itakuwa ni jadi kwa serikali kuongozwa na watu kutoka katika kabila la wasukuma. Kwenye siasa, namba zinahesabika!

Hoja ya ukabila kwa wasukuma haina mashiko wasukuma hatujawahi kuwa na ukabila hata siku moja ndiyo maana wasukuma wanaweza kuishi na kabila lolote bila shida na kwa sasa wametapakaa nchi nzima na kokote walipo kuna amani na wanaishi vizuri na walenyeji

Kinacholeta ukakasi na watu wengi kuona kama kuna ukanda na ukabila unajitokeza ni rais kuwekeza nguvu nyingi mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla na kuitumia kama political base

Kitamgharimu kama kiongozi lakini kitaligharimu taifa
 
Watu wanatamani sana wasukuma wawe wakabila ili wajusty upuuzi wao.


Bahati mbaya Usukumani hakuna ishu hizo, Kama unaongea jambo bila kuwa na uhakika Bora ukae kimya, ukitaka kuwajua Wasukuma vizuri tembelea mikoa yao nenda hadi vijijini halafu tembelea uchagani na uhayani kisha linganisha.


Walikua wanawaita The Sleeping Giant
Sasa wameamka watu wanatokwa na mapovu hataree na movement zao za Ant-Wasukuma
2020 waungane woote against wasukuma basi
 
mie shule nlosoma a level kabila lililokua na ubaguzi walikua ni wahaya asee hawa jamaa walikua kivyao vyao na walitusaliti sana kila tulipopanga kufanya mgomo ili kishinikiza jambo fulani liwekwe sawa.
Wahaya ni wanafiki sana
 
Ningekuwa waziri Lukuvi, ningejiuzulu kuonesha kutokubali kuyumbishwa.

Maana hata yeye amelazimika kuwa mfano kwa kubomoa nyumba yake iliyojengwa kwenye hifadhi ya barabara.
 
Usiseme mwanza Sema Usukumani, wasukuma wana ukabila sana.....naanza kuona harufu ya ukabila inamea TZ
Wasukuma walisha acha ukabila kwa kiasi kikubwa sana sana kama ilivyo makabila mengi Tanzania.tatizo huyu alisukumiziwa awamu hii ndio nae anawasukumizia wasukuma kurudia ukabila .maana kama unavyojua kama ukifilisika siasa .huwa mwanasiasa uanza kujishika kwenye udini ikishindikana napo atadakia ukabila au ukanda .sembuse huyu msukumizwa hana siasa kabisa .hivyo kwanza kabisa akajishika na wanyonge imekataa ,ikaanza kujiribu kujishikisha kwenye dini mwaga pesa miskitini,makanisani.jenga ofisi ya misikiti.

kuingia makanisa aina 3 tofauti kisalsafa katika siku moja ya ibada nayo imekataa .kama unavyosikia matamko kutoka maeneo hayo ndio hivyo dini imekataa .kwa hali hiyo kinacho fuata ni ukabila na bahati nzuri ataa ukanda inakubali ukizingatia kanda karibu yote ni matawi ya kabila moja .ataa hivyo kutokana Misingi iliyokuwepo ya mwingiliano wa makabila kwa Mapenzi ya Mungu na iliokuja kuongezewa kujengwa na Baba Taifa hili la ukabila au ukanda limeanza kukataa ataa kabla alijaanza .ni swala la muda tuuu
 
Back
Top Bottom