Mwanza ni kiini cha mabadiliko ya kiutawala Tanzania!!

Kama wasukuma wangekuwa wana ukabila usingeona makabila mengine yakishamili kibiashara katika maeneo ya wasukuma.

Leo hii ukienda kwenye mikoa yenye wasukuma wengi utakuta wafanyabiashara wa kichaga wamejaa na biashara zao zinapata mafanikio makubwa kwa sababu wanunuzi ni wasukuma.

Wakina dada wengi wa makabila mengine wameolewa na wasukuma.

Kwa ujumla, wewe unaodhani wasukuma wana ukabila inawezekana ukawa ni mkabila namba moja.

Huwezi kujua kama fulanio ni chawi kama huna elimu ya kichawi!

Acheni kuwalazimisha wasukuma wawe wakabila na siku wakiwa wakabila itakuwa ni jadi kwa serikali kuongozwa na watu kutoka katika kabila la wasukuma. Kwenye siasa, namba zinahesabika!

Haitatokea wasukuma mpendane na eti mchaguane ninyi kwa ninyi..!

By the way, suppose na haya mengine (makabila) zaidi ya 120 yaungane kuwapinga wasukuma mtasimama wapi? Mtaweza?

All in all, kama kiongozi mkuu wa nchi, ndugu yenu juzi kama kawaida yake alichemka kwa kauli yake whether mnapenda ama hampendi...

Na matokeo yake ni haya sasa. Kila mtu anaitafsiri kwa namna yake...

Mbaya zaidi wale wa maeneo mengine ya nchi hiihii wanajisikiaje taratibu na sheria hizo hizo zinatumika kuwabomolea makazi yao huku wale wa nyumbani kwa Rais anatangaza msamaha wa waziwazi tena mchana kweupe?

Haya ndiyo matatizo ya kupewa nafasi ya uongozi ktk ngazi ya juu kwa kushtukizwa kwa mtu kama huyu...!!
 
Ila anacho fanya ni kuligawa taifa raisi anamatatizo ya akili hata kama ni nguvu ya wapiga kura siyo kutamka hadharani kwamba nyie siwabomolei kwasababu mlinipa kura nyingi
Tatizo liko kwenye akili yako , mtu mwenye akili huenda Mbali zaidi hapo. Umoja katikati ya mgawanyiko. Kwa nguvu hiyo ya kuligawa taifa ndivyo ilivyo na nguvu inayounganisha taifa kuwa moja. Nasikitika kama akipunguza itakuwa hatendi sawa.
 
Usiseme mwanza Sema Usukumani, wasukuma wana ukabila sana.....naanza kuona harufu ya ukabila inamea TZ
Napingana na wewe kwa hoja yako, tungekuwa wakabila hii nchi ingelikuwa kama Kenya. Kukaa kimya kwetu si chanzo cha kutuona hatufahamu. Lowassa alikuwa anapendwa kuliko mgombea yeyote ndani ya CCM kabla jina lake halijakatwa nikiwemo mimi. Siku wasukuma wakiuvaa ukabila mtashangaa sana na usiombe ifikie huko. Kahama wachaga wapo kibao na wateja wao wakuu ni wasukuma same to Mwanza mjini. Nachukia sana ukabila na kama hujui madhara ya ukabila tembelea Biharamulo
 
Napingana na wewe kwa hoja yako, tungekuwa wakabila hii nchi ingelikuwa kama Kenya. Kukaa kimya kwetu si chanzo cha kutuona hatufahamu. Lowassa alikuwa anapendwa kuliko mgombea yeyote ndani ya CCM kabla jina lake halijakatwa nikiwemo mimi. Siku wasukuma wakiuvaa ukabila mtashangaa sana na usiombe ifikie huko. Kahama wachaga wapo kibao na wateja wao wakuu ni wasukuma same to Mwanza mjini. Nachukia sana ukabila na kama hujui madhara ya ukabila tembelea Biharamulo
ukabila kanda ya ziwa hakunaga watu wa huku ni wapole n are welcoming. ukabila upo kanda fulani ambayo kuna wachache hufikia hatua ya kuropoka kuwa wao si watanzania wanadi eti origin yao ni kenya.
race hii ya maendeleo baina ya mkoa na mkoa tunaiharibu pale tunapovuka mipaka na kuingiza ukabila ama ukanda.
 
Kama wasukuma wangekuwa wana ukabila usingeona makabila mengine yakishamili kibiashara katika maeneo ya wasukuma.

Leo hii ukienda kwenye mikoa yenye wasukuma wengi utakuta wafanyabiashara wa kichaga wamejaa na biashara zao zinapata mafanikio makubwa kwa sababu wanunuzi ni wasukuma.

Wakina dada wengi wa makabila mengine wameolewa na wasukuma.

Kwa ujumla, wewe unaodhani wasukuma wana ukabila inawezekana ukawa ni mkabila namba moja.

Huwezi kujua kama fulanio ni chawi kama huna elimu ya kichawi!

Acheni kuwalazimisha wasukuma wawe wakabila na siku wakiwa wakabila itakuwa ni jadi kwa serikali kuongozwa na watu kutoka katika kabila la wasukuma. Kwenye siasa, namba zinahesabika!
Wasukuma sio wakabila hata kidogo, tena wana roho mbaya kwa qasukuma wenzao, makabila yenye ukabila tanzania ni wachaga, wahaya na wanyakyusa, sijui ndizi zina mchango gani kwenye roho ya ukabila

Back to the point, wanasiasa wanaishi kwa kuangalia upepo na kwa kufuata tafiti, magufuli anajua hata afanyeje hawezi kupata kura za dar, lakini akifanya kitu kanda ya ziwa inatosha kumfanya apate kula zote za kanda ile, na za mtu wa kanda ile bila kujali yupo mkoa gani, ndio maana anajaribu kukusanya kura za wasukuma kwa wingi hasa ukizingatia 2020 sio mbali
 
Back
Top Bottom