Stan Pearson
Senior Member
- Dec 9, 2019
- 154
- 295
Huyu jamaa atakuwa mwandishi wa habari
😂😂😂😂Sio huyu jamaa kweli maana aliweka uzi kabisa mkisikia hii habari mjue kuwa ni yeye.
Mkisikia; Mkazi mmoja mkoani Mwanza amjeruhi vibaya mpenzi wake kwa kisu kisa wivu wa mapenzi mjue ni mimi!
Hii dunia ndivyo inataka tuishi hivyo, sasa basi na sisi tutaishi hivyohivyo inavyotutaka tuishi, Halafu kuna kitu mimi nimegundua laiti kama mapenzi yasingekuwepo duniani nahisi tungeishi kwa furaha sana natungeifurahia dunia Vitu vinavyoiangamiza dunia na kupelekea mauaji ni MAPENZI na PESA...www.jamiiforums.com
shangaa na wew MkuuHadithi hii ya kubuni umeikosea kidogo ili ionekane ina ukweli ndini yake, ungeandika hivi; Bwana David kabla ya kumfanyia huo unyama mkewe, alimlisha madawa ya kulevya.
Hapo kidogo na kwa mbali kaukweli kanaonekana.🤣
Kauongo kengine ni pale unaposema; Bwana David alikuwa anarosti "vile vitoweo viwili", hapo ungesema hivi; baada ya kukata vile "vitoweo viwili" aliwatupia mbwa ili kuficha ushahidi.