Mke akoswakoswa kuuawa na mume wake kwa kisu

Mwalimu wa tuisheni

JF-Expert Member
Oct 19, 2019
5,489
8,626
Munghonie bhandu bha kyala? Mwiputie?

Haya bondeni tena huko, kijana aliyefahamika kwa jina la Ntembeko Myalo anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kujaribu kumuua mke wake kwa kumchoma na visu.

Kijana huyo alikua ni wanafunzi wa chuo cha western cape na mkewe akisoma Cape Peninsula University of Technology (CPUT).

Wakati alipokuwa akitaka kutekeleza tukio hilo mwanafunzi mmoja alijitokeza kumuokoa binti huyo mpaka wengine walipofika na kuanza kumtembezea kichapo kikali huyo kijana aliyetaka kumuua mkewe.

ANGALIZO:
1. PICHA ZA LEO HAZITISHI
17860083_img20231112wa0000_jpeg37cb737e2532f238b7a7c8e965b38205.jpg
17860084_img20231112wa0002_jpeg0d7aa4844234493dc8d8860ecf173ae8.jpg
17860085_img20231112wa0003_jpeg1262c57bc2f7cc932288239e76c6ced6.jpg
17860095_400261649858317605751710830660022159722816n_jpegb60cfaac652e837ec74a3c5ffefbe960.jpg
 
Back
Top Bottom