kwani alikua na hati miliki ya hilo jimbo?
Nimeona matokeo, CCM,89,017, CHADEMA 79,017, ni nadra namba kufanana hivyo, kwa waliosoma Statistics watanielewa ninachosema...,kwa uchaguzi uliokuwa na mchuano mkali haiwezekani wapiga kura wawe balanced hivyo.
Mods usiunganishe huu uzi, uache peke yake uonekane peke yake
Kaskazini kuna makabila zaidi ya matano sasa unaongelea ukabila wa kabila gani?
Hiyo ndio mbegu chafu iliyopandikizwa na ccm kwenye akili za Wadanganyika kama wewe.
Mzee wa nyeti za kuku...
Nimeona matokeo, CCM,89,017, CHADEMA 79,017, ni nadra namba kufanana hivyo, kwa waliosoma Statistics watanielewa ninachosema...,kwa uchaguzi uliokuwa na mchuano mkali haiwezekani wapiga kura wawe balanced hivyo.
Mods usiunganishe huu uzi, uache peke yake uonekane peke yake
makamanda piiiiiiiiiiiiipooooooooo(kwasauti ya mbowe)
Kukosekana kwa wanafunzi wa saut kumepoteza kura zaidi ya elfu 8,
kuhamia masha ukawa kumempaka shombo na kuonekana ni genge la mafisadi.
Kukimbia mdahalo baada ya kutuhumiwa kula hela za wamachinga hiyo ilikuwa teke la mwisho.
Ila wenje kamalizwa na walimu walipo mgomea kuondoa michango ya madawati wakati aliwambia akiwa mbunge michango ya madawati haitakuwepo tena.
Uamuzi wa kuuza clinic ya wajawazito ya makongoro hiyo ndo ilikuwa sumu kubwa ya chadema mwanza, kumbuka hiyo clinic ndo hospital ya kwanza kujengwa na wajerumani nchini.
We mpuuzi tu na inferiority complex inakusumbua na wenzako...Ukanda ukanda...Wajinga tu. Wote msiotaka kubadilika ni wajinga tu. ..
ukerewe hawana habari za kikabila wale..huyo jamaa kapiga kazi sanaaa kipindi akiwa mwenyekiti wa halmashauri ya ukerewe....wananchi wamemchagua ..sio wale wenzetu wengine waliopiga kura za kikabila