Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Simiyu. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Simiyu una jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 ambayo ni:-
Bariadi -
Andrea Kundo (CCM) - Kura 92,488
Maendeleo Makoye (CHADEMA) - Kura 33,339
Busega -
Saimon Songe (CCM)
Itilima -
Njalu Daud Silanga (CCM)
Maswa Magharibi -
Mashimba Ndaki (CCM)
Maswa Mashariki -
Nyongo Stanslaus Harun (CCM)
Meatu -
Leah Komanya (CCM)
Kisesa -
Luhaga Mpina (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Simiyu. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Simiyu una jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 ambayo ni:-
Bariadi -
Andrea Kundo (CCM) - Kura 92,488
Maendeleo Makoye (CHADEMA) - Kura 33,339
Busega -
Saimon Songe (CCM)
Itilima -
Njalu Daud Silanga (CCM)
Maswa Magharibi -
Mashimba Ndaki (CCM)
Maswa Mashariki -
Nyongo Stanslaus Harun (CCM)
Meatu -
Leah Komanya (CCM)
Kisesa -
Luhaga Mpina (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.