Mwanza: Maandamano ya M4C yafunga barabara kuu

Mwanza: Maandamano ya M4C yafunga barabara kuu

Safi sana habari nzuri kwa watanzania wanapenda kuona upinzani unachukua nchi 2015
 
Barabara kubwa Mwanza ni Nyerere, Makongoro, Uhuru, Kenyata, Rufiji, kwisha hizo zingine ni tumitaa tu. Mtu yoyete kama ana harusi au msiba anazifunga tu.

Mkuu tusiandikie mate na wino ungalipo..hebu mpigie Lau Masha, Diallo au Masamaki usikie nao wana maoni gani
 
Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke
 
mwendo ni huohuo makamanda hadi 2015.muwe na tahadhari huko Bukoba mzee Mangula yupo ukanda huohuo
 
Maandamano ya M4C jijini Mwanza jana jioni yalisimamisha shughuli za waendesha magari kwa muda wa nusu saa baada ya mkutano wa ukweli uliofanyika viwanja vya Capri Point. Wafuasi wa CHADEMA walimzuia kamanda Mawazo kupanda gari kuamua kumsindikiza kwa maandamano mpaka hoteli alofikia maeneoa ya Uhuru.

Bara bara za station tokea Capri, barabara ya Nyerere na barabara ya Uhuru zilijaa watu wengi wakipiga kelele kumsindikiza kamanda Mawazo.

Kamanda Mawazo leo anawasha moto wa mabadiliko Bukoba. Mwendo mdundo, hatulali mpaka kieleweke

Maguzu

chadema raha sana huyo ni kamanda mawazo anafuta shazi hivyo watani wa jadi ofisi na uongozi wote,wasanii na promo ya kufa mtu bado uwanja unapwaya
 
Huwa nafurahishwa sana na utendaji kazi huyu Kamanda Mawazo, nimejaribu kuitafuta picha yake bila mafanikio,

Please kama kuna yeyote mwenye picha ya huyu Kamanda Mawazo aieweke hapa ili nipate kuiridhisha nafsi yangu.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema na watu wake.

SAM_2754.jpg
Kamanda Mawazo, Lema na Ole Millya..Mawazo ni alievaa kombat nyuma ya lema..Wakiwa kwenye uwanja wa NMC wakijiandaa kumvamia Ole Sendeka miezi michache iliyopita...
 
Huwa nafurahishwa sana na utendaji kazi huyu Kamanda Mawazo, nimejaribu kuitafuta picha yake bila mafanikio,

Please kama kuna yeyote mwenye picha ya huyu Kamanda Mawazo aieweke hapa ili nipate kuiridhisha nafsi yangu.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Chadema na watu wake.

Mawazo hayana sura, kaka. We komaa na utendaji tu
 
hata mrema agustino alisukumwa kwenye gari lakini hakupata urais

Mawazo hata umessanger hataki; jitahada zako za uanachama wa Chadema zimefikia wapi? Mbembelezeni wakili yule wa Chuo Kikuu awasilishe kesi mahakamani halafu muishie kulipa gharama.
 
Tunaitaji hii movement 4 Changel ifike maeneo ya keko machungwa kitongoji kipo D'salaam lakini wajinga wengi sana. Wamezoea kuishi maisha ya wazazi wao. [baba elimu yake ndogo unataka uwe hivyo] Vivi chadema karibuni sana keko machungwa.
 
Wadanganye ambao hawaijui Mwanza huwezi kufunga barabara zote hizo kwa nusu saa.

Kutoka Capri Point mpaka uhuru ni mbali hapa katikati lazima upite barabara ya Kenyata, Karuta, Lumumba, Nyerere, Liberty, ndiyo ufike Uhuru, sijui zilifungwa vipi hizo barabara.

Ni kweli watu walikuwa wengi na kwa barabara finyu za Mwanza kweli magari yalikuwa hayasogei, cha kufurahisha kulikuwa na kibosile moja wa CCM alikuwa kasimama anashangaa maandamano hamad! si aliwaona wafanyakazi wake na gari lake wakiwa kwenye msafara wa CDM huku wakinyoosha alama ya V (gari yake ya pickup) jamaa alihamaki sana na wale wafanyakazi walikuwa wamenogewa......walinifurahisha mnoo
 
Msafiril mtemelwa tuna kuhitaji maeneo ya keko machungwa please cme tmov 1
step to other step even tommorow.Now
time to change
Everything
 
Mwenye namba kamanda mawazo anipatie,nataka nimpongeze na ---- issue
 
Back
Top Bottom